heri mi sijasema!
hebu kumbuka hili shairi:
...
Sikiri mimi maskini, uvivu wangu nyumbani, ukiwa huu njiani, nakufa hapa kwanini?
...
Sadiki sasa ashiba, chakula kingi kwa baba,,, [daah, hebu endelea kama unakumbuka, mm nimesahau...]
Mwamba mwenye nguvu!
mkuu mbali kitambo, Juma na Roza!.. Huyu ni baba, baba ana ng'ombe, baba anasema, kimbia ng'ombe, kimbia nyumbani, kimbia upesi, baba ana njaa...
1. Mandawa na manenge
2. Mzee tola
3. Mfalme mwenye masikio kama ya punda
4. Sizitaki mbichi hizi..
5. Safari yenye mkosi.
6. Siku ya gulio Katerero.
Daah! Lakin hii haichekeshi wadau. Hebu na wewe kumbukia enzi zako za primary..