Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,163
kushangaa kwa kihispaniola ndo hivyo.
ndio kumpongeza au kumkashifu?
ndio kumpongeza au kumkashifu?
aisee ushauri kwa malaya sitoagi samahani kwa hili maana najua huyo mwanamke wako ana mwenzio na hata wewe kama boya kulala kwa mwanmke wako wa zamani umeonekana jinsi gani ulivokuwa ovyo kama mwanaume lazima uwe na msimamo najua shida yako mpaka unamaliziia sentensi ya mwisho seem huyo binti alikuwa anakutunza sasa kwa atakae toa ushauri anakuharibu mpwa m siamini mwanaume wa maisha ya sasa kutafuta mwanamke mwenye uwezo...ulivyoonyesha hata hako kagari chako ni ka ofisini ndio maana umewahi fasta kupitia wale wenzio jamaa wasikutundike na risiti za buku 20 za taxmaisha ya mapenzi si mchezo; alikuwa my honey longtime, nikaenda kupiga kitab majuu. Juzi nimerudi jana kaniomba nimpeleke dinner, tumepata dinner kama kawa majira ya saa nne nkimrudisha kwake, akashuka akafungua geti nikaingiza mandolina yangu na kupaki, karibu ndani; akanizungusha vyumba vyote mpaka store na mwisho akaninipeleka master, nikaingia humo na neno karibu lilimtoka. Nikapewa vifaa vyote vya kujiweka sawa kiusafi pamoja na kukatwa kucha. Kausingizi kakanipitia kidogo niliposhituka alikuwa adjacent to me with light night dress very transparent and lookable.
Bila shaka unajua mzee mzima alivyoshituka na kuanza machachari: Left hand on site right hand on gear. Side by side; left went further top to bottom near the real site nikasikia niache huko!!!!!!!
Ebwana eeeeehh ndio ilikuwa mwanzo wa varangati, nikaomba ruhusa akataa kabisa. Nikajua staki nataka: Nikaongeza ufundi kidogo laaaaa nikasikia ukiendelea nitakupasua na chupa.
Nikaomba kufunguliwa mlango nitambae akakaa kimya. Sikuona ufunguo mpaka asubuhi.
Nilipofunguliwa mlango nikakanyaga mafuta kwa hasira na kurudi geto.
Masaa mawili baadaye nikatumia ujumbe huu
"i fight hard 2 recover, n in due course so 2 do, i find myself do thngs whch hurt others with no intention 2 hurt anybody. Ths text comes as an apology 2 u, its hard 2 xplain, bt may ur hrt allow 4giveness 4 wht has happened.......
Wadau toeni ushauri nifanyeje, maumivu ya mzee mzima mpaka sasa yanaendelea.
heee mbona umempachika zito hivyo mwenzio?Ushauri wa bure,acha uzinzi.ila tunashukuru tumejua kuwa ulienda kusoma majuu na una mandolini na vilevile huyo kicheche wako nae ana nyumba yenye hadi store.over
Ungembaka tu mkuu..
Hapo hamna kesi, am a gud loya! Next time ikikutokea mbake then nitwangie nitakusaidia kisheria!
aziniye na mwanamme ana akili, eti?
depends ma dearKwani alilalaje kama kweli mlikua mast na on the bad ungezingua kinyumenyume.
mwenyewe angegeuza.
labda nikusaidieWeeh! Mwanamke hazini! Wanaume ndo wanazini, ndo maana hata Yesu alipopelekewa yule mwanamke aliefumaniwa alimuacha aende zake. Angeletewa mwanaume nahisi angemnyofoa korodani!
Ushauri wa bure,acha uzinzi.ila tunashukuru tumejua kuwa ulienda kusoma majuu na una mandolini na vilevile huyo kicheche wako nae ana nyumba yenye hadi store.over
Sasa niwe padre au? Maana nimekuwa nafikiri yeye ndo my final one sasa nianze upya?
aziniye na mwanamme ana akili, eti?
Kwani alilalaje kama kweli mlikua mast na on the bad ungezingua kinyumenyume.
mwenyewe angegeuza.
aisee ushauri kwa malaya sitoagi samahani kwa hili maana najua huyo mwanamke wako ana mwenzio na hata wewe kama boya kulala kwa mwanmke wako wa zamani umeonekana jinsi gani ulivokuwa ovyo kama mwanaume lazima uwe na msimamo najua shida yako mpaka unamaliziia sentensi ya mwisho seem huyo binti alikuwa anakutunza sasa kwa atakae toa ushauri anakuharibu mpwa m siamini mwanaume wa maisha ya sasa kutafuta mwanamke mwenye uwezo...ulivyoonyesha hata hako kagari chako ni ka ofisini ndio maana umewahi fasta kupitia wale wenzio jamaa wasikutundike na risiti za buku 20 za tax
narudia tena
acha kuwa tegemezi
tena nyie mnaojifanya mnasoma/mmesoma nje mnakuwa na dharau kichizi kwa wabongo kisa mmeona vyeupe /uliwapanga weupe.na inawezekana ulimtukana kipindi ukiwa huko ukadhan ushaimaliza dunia. umerud umekuta ndivyo sivyo na ulivyoyafikiria yamekushuka shuuu......loooh mwanaume huna haya wewe