- Thread starter
- #21
Mpongeze sana kwa kuwa anapenda uendelee kuishi.
Thanks Good courage
Mpongeze sana kwa kuwa anapenda uendelee kuishi.
Fazaa kwa bahati mbaya nilienda kusomea mambo ys Financial Analysis na Management Packs sasa hapakuwa na optional study ya humanware. Nadhani technical error ipo hapo.
Ushauri wa bure,acha uzinzi.ila tunashukuru tumejua kuwa ulienda kusoma majuu na una mandolini na vilevile huyo kicheche wako nae ana nyumba yenye hadi store.over
Hii ni kwaresima.Umenenaexcellent
Aziniye na mwanamke HANA AKILI kabisa.
anaukimwi hataki kukuumizaBado nina imani kiporo hakihitaji moto mwingi kuliwa ila sijui kwa hiki ilikuwaje!!!!
Ushauri wa bure,acha uzinzi.ila tunashukuru tumejua kuwa ulienda kusoma majuu na una mandolini na vilevile huyo kicheche wako nae ana nyumba yenye hadi store.over
Ushauri wa bure,acha uzinzi.ila tunashukuru tumejua kuwa ulienda kusoma majuu na una mandolini na vilevile huyo kicheche wako nae ana nyumba yenye hadi store.over
tena liwelelo hasa!
Ungembaka tu mkuu..
Hapo hamna kesi, am a gud loya! Next time ikikutokea mbake then nitwangie nitakusaidia kisheria!
Maisha ya mapenzi si mchezo; alikuwa my honey longtime, nikaenda kupiga kitab majuu. Juzi nimerudi jana kaniomba nimpeleke dinner, tumepata dinner kama kawa majira ya saa nne nkimrudisha kwake, akashuka akafungua geti nikaingiza mandolina yangu na kupaki, karibu ndani; akanizungusha vyumba vyote mpaka store na mwisho akaninipeleka master, nikaingia humo na neno karibu lilimtoka. Nikapewa vifaa vyote vya kujiweka sawa kiusafi pamoja na kukatwa kucha. Kausingizi kakanipitia kidogo niliposhituka alikuwa adjacent to me with light night dress very transparent and lookable.
Bila shaka unajua mzee mzima alivyoshituka na kuanza machachari: left hand on site right hand on gear. Side by side; left went further top to bottom near the real site nikasikia niache huko!!!!!!!
Ebwana eeeeehh ndio ilikuwa mwanzo wa varangati, nikaomba ruhusa akataa kabisa. Nikajua staki nataka: nikaongeza ufundi kidogo laaaaa nikasikia ukiendelea nitakupasua na chupa.
Nikaomba kufunguliwa mlango nitambae akakaa kimya. Sikuona ufunguo mpaka asubuhi.
Nilipofunguliwa mlango nikakanyaga mafuta kwa hasira na kurudi geto.
Masaa mawili baadaye nikatumia ujumbe huu
"I fight hard 2 recover, n in due course so 2 do, i find myself do thngs whch hurt others with no intention 2 hurt anybody. Ths text comes as an apology 2 u, its hard 2 xplain, bt May ur hrt allow 4giveness 4 wht has happened.......
Wadau toeni ushauri nifanyeje, maumivu ya mzee mzima mpaka sasa yanaendelea.