The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
umekufa, umeoza wewe mzima kweli
Lizzy utabana utachoka utakuja kuachia tu.
Lizzy utabana utachoka utakuja kuachia tu.
Nimeipenda hiyo ya kumalizia wako daima.... hata kama ana ubavu wake 'baba bmchungaji' lakini atabaki kuwa wake daima... sihamasishi usaliti
Aisee wewe mtu nakutafutia SNIPER nikudungue lol!!!!!!
Umenivnja mbavu mbele za w2 wanaona navyocheka mwenyewe aaah we noma msalani kwanini wakati anasubili lizzy akubali 2 wakaimege amri ya 6 duu mi cmooo
Utakua unatimiza wajibu gani hapo?
Aisee wewe mtu nakutafutia SNIPER nikudungue lol!!!!!!
Utakua unatimiza wajibu gani hapo?
Nakuwa nimempa BAN in the other way round, kuna mali zangu huko Sanawari sasa sijui kama ni nzima
On the second thought...ngoja nimwambie baba mchungaji aazime ya Finest kwa ulinzi zaidi!Si umeona Lizzy hataki niuwawe so at least its a start,na kule kwako si salama we endelea ku-flirt na Pearl utakuta unalala nje lol!
On the second thought...ngoja nimwambie baba mchungaji aazime ya Finest kwa ulinzi zaidi!
Si umtumie Private message?
Mbona mchungaji yupo hapa na anaona ?On the second thought...ngoja nimwambie baba mchungaji aazime ya Finest kwa ulinzi zaidi!
Shem bado Upo Roto, Brigita na GB wanatuma PM?
Yani shem..zis pipo a draivin mi kreyzi!Kutwa kuniahidi nyumba..mara sijui gari..mvua ya pesa!Utadhani wameambia baba mchungaji hatimizi majukumu yake mpaka nidate na vijisenti!
Mbona mchungaji yupo hapa na anaona ?
Ehhhh Bwana we!!, mbona mambo haya tena, kutongozana kwani mtu tanagazee?????, Pliz twajua umempenda, Kuna kidude kile cha itwa PM. Yaani private message, tumieni jamani!!!!
Anawalia timing tu!We subiri!Mbona mchungaji yupo hapa na anaona ?
Ntafuata ushauri shem!Naomba unifikishie ujumbe kwa baba mchungaji wangu...tell him I miss him like crazy...ana I love him so...so!Hao dawa yao ni kuwa ignore! Hebu check mail inawezekana bro amekutumia mail