mayenga
JF-Expert Member
- Sep 6, 2009
- 4,118
- 1,966
Mheshimiwa sana,
Pole na Majukumu.
Kawaida ya binadamu makini na mahiri ni kuthubutu kufanya kile anachoamini ni sahihi.Kuikweli mtazamo wangu kuhusu wewe Mheshimiwa ingawa ni wa kiharakati lakini upande wa pili wa shilingi ni kwamba unaniacha hoi sana.Huwa najiuliza kwanini hisia zangu kwako hazikomi lakini sijui ila inatosha kusema kuwa nimekudondokea.
Ndoto zangu niziotazo kwako ni kwamba nikibahatika kukubaliwa ombi langu ,mtoto wetu wa kwanza atasoma shule za kata lakini zilizoboreka,kwani hata kama sisi tukishindwa mtoto huyu kwa harakati zake hatakubali kukalia mawe au kusomea chini ya mti.Ndoto hii haikomei hapo,inaendelea kueleza kuwa utakuwa mama wa mfano wa kuigwa ukiwa nami.Kwa uchunguzi wangu wa haraka inaonesha tuko fani moja,ubishi na harakati hazitaishia mjengoni bali hata nyumbani,utadai haki unayostahili na utapewa.
Juhudi zangu za kukupata na kukutana nawe live zimegonga mwamba,inaonekana wengi wao hasa ambao nimejaribu kuwaeleza wanipatie contacts zako walinibania,nadhani lengo lao ni kama langu lakini wenyewe ni midomo zege hawawezi kuongea na kujieleza.Mheshimiwa nina uhakika hautaniacha kwenye foleni,kiukweli nimekudondokea!!!!!!!!!!!!!!!!!
Pole na Majukumu.
Kawaida ya binadamu makini na mahiri ni kuthubutu kufanya kile anachoamini ni sahihi.Kuikweli mtazamo wangu kuhusu wewe Mheshimiwa ingawa ni wa kiharakati lakini upande wa pili wa shilingi ni kwamba unaniacha hoi sana.Huwa najiuliza kwanini hisia zangu kwako hazikomi lakini sijui ila inatosha kusema kuwa nimekudondokea.
Ndoto zangu niziotazo kwako ni kwamba nikibahatika kukubaliwa ombi langu ,mtoto wetu wa kwanza atasoma shule za kata lakini zilizoboreka,kwani hata kama sisi tukishindwa mtoto huyu kwa harakati zake hatakubali kukalia mawe au kusomea chini ya mti.Ndoto hii haikomei hapo,inaendelea kueleza kuwa utakuwa mama wa mfano wa kuigwa ukiwa nami.Kwa uchunguzi wangu wa haraka inaonesha tuko fani moja,ubishi na harakati hazitaishia mjengoni bali hata nyumbani,utadai haki unayostahili na utapewa.
Juhudi zangu za kukupata na kukutana nawe live zimegonga mwamba,inaonekana wengi wao hasa ambao nimejaribu kuwaeleza wanipatie contacts zako walinibania,nadhani lengo lao ni kama langu lakini wenyewe ni midomo zege hawawezi kuongea na kujieleza.Mheshimiwa nina uhakika hautaniacha kwenye foleni,kiukweli nimekudondokea!!!!!!!!!!!!!!!!!