Nimekuwa nikisema mara nyingi kuwa CDM imekomaa, imejulikana hata vijijini kwa vijana na wazee, kwa wanawake na wanaume, kwa dini zote kubwa yaani waislamu na wakristo. Huu ni wakati wa CDM kubadili strategies zake za kujijenga. Wapunguze maandamano badala yake wafanye mikutano na kutumia vyombo vya habari kama TV, redio, social media na magazeti. Kuanzia sasa waepuke kukwaruzana na vyombo vya dola bila sababu za msingi ili kuondoa ile dhana inayoenezwa na wapinzani wao kuwa CDM ni chama cha fujo na vurugu. WanaCHADEMA tafakari.