KIJAMBO
Member
- Sep 3, 2012
- 30
- 5
Yalinikuta leo,
Nikiwa home nimetulia huku nimefulia mara napokea cm kwa mdada kuwa ananihitaji kwenye mambo ya wakubwa yale, bt akasema atalipia kila ki2,bt poa ingawa moyo wngu ulisita bt shetani akanizidi nguvu bhana, so akanielekeza chumba alifikia, bt kumbe alikosea number ya chumba, daaahh kilichonikuta sasa, si nikagonga mlango kile chumba na ndani kulikuwa na mzee anasubilia goma lake.
Basi mzee akafungua zen akajificha nyuma ya mlango akijua n goma na me nikijua ni goma langu,nilivyoingia bila ya kuangalia nyuma na mzee akanihug mgongoni bt nikahisi naguswa na kitambi chenye mvii, dahhh kugeuka wote tukashtuka na mm nikakimbia bila ya kugeuka na ule mzee jogoo wake alinywea fastaaaaaa,na taarifa nilizopata mzee alisepa akijua kafumaniwa.
Ebwaaana mm nimekoma ni mara ya kwanza na mwisho nimekomaaaa, bt wazee nao walikuwa wapi ujana wao??
Good 9t guyssssssssssss
Nikiwa home nimetulia huku nimefulia mara napokea cm kwa mdada kuwa ananihitaji kwenye mambo ya wakubwa yale, bt akasema atalipia kila ki2,bt poa ingawa moyo wngu ulisita bt shetani akanizidi nguvu bhana, so akanielekeza chumba alifikia, bt kumbe alikosea number ya chumba, daaahh kilichonikuta sasa, si nikagonga mlango kile chumba na ndani kulikuwa na mzee anasubilia goma lake.
Basi mzee akafungua zen akajificha nyuma ya mlango akijua n goma na me nikijua ni goma langu,nilivyoingia bila ya kuangalia nyuma na mzee akanihug mgongoni bt nikahisi naguswa na kitambi chenye mvii, dahhh kugeuka wote tukashtuka na mm nikakimbia bila ya kugeuka na ule mzee jogoo wake alinywea fastaaaaaa,na taarifa nilizopata mzee alisepa akijua kafumaniwa.
Ebwaaana mm nimekoma ni mara ya kwanza na mwisho nimekomaaaa, bt wazee nao walikuwa wapi ujana wao??
Good 9t guyssssssssssss