Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,047
- 452
- Thread starter
- #41
Si utani NJ, hawa wawili wata make a wonderful couple ha ha haaaa.. :car:
sipo la kuukanusha,ila napinga uamuzi,
elia umeamusha,nguli jabali ye uzi,
samora ndo kakausha,kumalizia matanuzi,
Mimi jamani ninae,lazizi wangu Kigori,
kama mwataka ye judi,binti misi awe wangu,
hiyo nafasi siinadi,fisadi adui wangu,
uzinzi kwangu sio chudi,nalaani hilo egu,
mimi jamani ninae,lazizi wangu kigori,
Ngoja nimuulize judi,mama tamko lako mali,
sema wasije maindi,nakujua we kiamili,
hata twende saudi,pitia kule somali,
Mimi jamani ninae, lazizi wangu kigori,
judi sema siogope,mi si mchakachuaji,
nisije pakwa matope,kigori pale ujiji,
mambo yawe kweupe,kama ya mwanakijiji,
Mimi jamani niane,lazizi wangu kigori,