Unajidai kuuliza kama vile ww hauhusiki, Mwalimu una mbwembwe sana wewe! Hakuna increment, endelea na mshahara wako huo huo wa TGTS CWamewawekea increment yoyote?
Unajidai kuuliza kama vile ww hauhusiki, Mwalimu una mbwembwe sana wewe! Hakuna increment, endelea na mshahara wako huo huo wa TGTS CWamewawekea increment yoyote?
Labda umechangia maafa ya KageraKiukwel nimesikitika sana baada ya kukuta mshahara wangu umepungua ukizingatia sisi walimu mishahara midogo makato mengi jumlisha mikopo yaani ni shida tupu. Hacha tuisome namba
Ahahaha,shikamoo mzee!Unajidai kuuliza kama vile ww hauhusiki, Mwalimu una mbwembwe sana wewe! Hakuna increment, endelea na mshahara wako huo huo wa TGTS C
Marahaba mjukuu wangu! Fundisha watoto wa kisukuma huko meatu, tafuta mashamba ulime mwalimuAhahaha,shikamoo mzee!
you really intrigue me,ahahahaha!Marahaba mjukuu wangu! Fundisha watoto wa kisukuma huko meatu, tafuta mashamba ulime mwalimu
Na wehu unao?Kiukwel nimesikitika sana baada ya kukuta mshahara wangu umepungua ukizingatia sisi walimu mishahara midogo makato mengi jumlisha mikopo yaani ni shida tupu. Acha tuisome namba
Hata mimi nahisi huyo ni mtumishi hewaSasa kama mwalim mzima,unashindwa kujua kwanini unakatwa.Hao wanafunzi assignments mnazowapa inakuwaje kweli.
Kwenye slip si inaonyesha?maana makato yoyote kweye salary lazima yaonyeshe ni makato ya nini.
Fuailia,acha kulalamika Mwalim unaenitia mashaka na taaluma.
AhahahaHahaaaa pogbaaaaa
Bodi ya mikopo wameupdate % Deduction code inayotumika sasa ni Automatic inabadilika kulingana na mshahara unavyobadilika inawezakana ulianza kukatwa kitambo lakini kiwango kilekile staticKiukwel nimesikitika sana baada ya kukuta mshahara wangu umepungua ukizingatia sisi walimu mishahara midogo makato mengi jumlisha mikopo yaani ni shida tupu. Acha tuisome namba
Waondolewe vipi kwani wao wanaanza na mshahara wa shingap ambapo mwingine anae maliza degree sawa na wao anapata shi ngapi??Mkuu kwa mtizamo wangu... walimu wasingekatwa mkopo maana najua kwa mshahara wao itakuwa majanga.... na Tz
inawahitaji walimu zaidi na zaidi. ... JPM plz walimu waondoe kwenye makato ya mikopo ya
bodi....
Mkuu waalimu tiyari ni special gp mkuu... umeandika ulicho andika sbb yao... kila faniWaondolewe vipi kwani wao wanaanza na mshahara wa shingap ambapo mwingine anae maliza degree sawa na wao anapata shi ngapi??
Msitetee walimu kuwafanya special group walipe tu na wengine wasome kwa hzo pesa
TATIZOKiukweli nimesikitika sana baada ya kukuta mshahara wangu umepungua ukizingatia sisi walimu mishahara midogo makato mengi jumlisha mikopo yaani ni shida tupu.
Acha tuisome namba.
ALIEKULIPIA CHUO KIKUU KAANZA KURUDISHA CHAKE WADOGOZENU NAWAO WASOME AKA WAKALIPIWE...KUWENI WAPOLE TUTATIZO
HASA NINI MWEZI HUU EBU TUJUZANE JAMANI MAANA NAM MIMI IMENIKUTA HII KITU NIMEKATWA PESA NDEFU TU PASINA TAARIFA YEYOTE KUNA NINI HAZINA AU UTUMISHI