Lily Flower
JF-Expert Member
- Oct 16, 2009
- 2,553
- 1,197
Just keep your arms open....MILANGO IKO WAZI MAMA!
karibu kwa geoff!
I AM MPWAAZ FOR THE SINGLE LADIEES
Just keep your arms open....MILANGO IKO WAZI MAMA!
karibu kwa geoff!
I AM MPWAAZ FOR THE SINGLE LADIEES
jongea kwenye altare ya bwana uishi maisha ya amani na bila kutenda dhambi. Kila siku najuta kwa nini nilichelewa kuuoa. Nafurahia sana ndoa yangu.
hope to see ya IN MY ARMS!i like them SINGLE LADIEES!.......Just keep your arms open.
Ukikubaliana na masharti sina kipingamizi.ndio mama!NATAKA KUKUWOWA!.......
ha ha ha ha ha ha ha!!! umesahau kama mi mdogo wako tena. Nitake radhi kwanza.
niambie masharti mama!.......Ukikubaliana na masharti sina kipingamizi.
Just keep your arms open.
mimi nitakufa na DADA ZAKO tu!i think IWAS BORN FOR THEM ONLYHe! Mshikiz for Mpwaz?
mimi nitakufa na DADA ZAKO tu!i think IWAS BORN FOR THEM ONLY
Nikutake radhi kwa kutotiwa nyuma ya stauti ya kaka! U cant be serious!
hee!! yamekuwa hayo tena, makubwaShukrani lakini altare nitajongea na Lily Flower si unaona amempiga chini jamaa wa longo longo!
msasha mbona hivyo???
Masharti najua u can handle them ni madogo tu ni kama yale niliyomkomalia nayo ex lakini nikiangalia tarehe hapo kwenye signature yako it sayz a lot kuna ukweli wa kuniwowa????niambie masharti mama!.......
i am ready to love you!
ndiyo mama,NITAKUWOWA!yule nae NITAMUWOWA!ingawa yule itabidi awe bi-mkubwa,wewe bi-mdogo.na masharti yako nitayamudu sababu orede BI-MKUBWA yupo nitakuwa napona kama kawa hadi utakapokuwa tayari.......!Masharti najua u can handle them ni madogo tu ni kama yale niliyomkomalia nayo ex lakini nikiangalia tarehe hapo kwenye signature yako it sayz a lot kuna ukweli wa kuniwowa????
I can see dumisho la mila LIVE! Umekula senksi pale!ndiyo mama,NITAKUWOWA!yule nae NITAMUWOWA!ingawa yule itabidi awe bi-mkubwa,wewe bi-mdogo.na masharti yako nitayamudu sababu orede BI-MKUBWA yupo nitakuwa napona kama kawa hadi utakapokuwa tayari.......!
by the time i finish with you nitakuwa NAWOWA mwingine wa tatu na wanne!LAKINI WEWE UTAPENDWA ZAIDI!
I PROMISE!...cross my heart
marry me!I NEED YOU!i love you
live bila chenga!i can see dumisho la mila live! Umekula senksi pale!
Pumzika kwa amani milele amina...Watoto wa uswazi wanalipa sana ndilo pumnziko langu la milele.
Itabidi nikubali 2 maana nina stress imejaa gunia, lakini hapo kwenye ratio mmmmmh! roho inauma roho inauma lakini wivu sina, when is the big day???????ndiyo mama,NITAKUWOWA!yule nae NITAMUWOWA!ingawa yule itabidi awe bi-mkubwa,wewe bi-mdogo.na masharti yako nitayamudu sababu orede BI-MKUBWA yupo nitakuwa napona kama kawa hadi utakapokuwa tayari.......!
by the time i finish with you nitakuwa NAWOWA mwingine wa tatu na wanne!LAKINI WEWE UTAPENDWA ZAIDI!
I PROMISE!...cross my heart
marry me!I NEED YOU!i love you
kaka hii iko Ndani ya Loitokitok Kenya!! karibu na Tarakea. Niliwasubiri pale Billionaires club ile Tar: 20. nikaona ziii. ilikuaje tena hamkuja?