tanga kwetu
JF-Expert Member
- May 12, 2010
- 2,193
- 1,434
Nina umri wa miaka 37 na nimeoana na mke wangu huyu miaka mitani iliyopita na tumejaaliwa mtoto mmoja wa miaka mimme na nusu sasa.
Maisha yetu kiuchumi na kimahusiano ni mazuri...kama kuna mikwaruzana ni ile 'ya kawaida' ndani ya ndoa.
Sie wote ni asili yetu ya bara na tumekulia katika maadili mazuri ya Kikristo. Wazazi wetu wote hawakuwavalisha watoto wao yale 'makolokolo' ambayo watoto wengi huwa wanavaa na hadi sasa kati yetu wawili hakuna aliye na 'chale' mwilini kumaanisha kwamba hatukuwa waumini wa mambo ya kienyeji!
Last week nilikuwa safarini kikazi lakini nikarudi nyumbani siku 1 kabla ya siku iliyokuwa ikijulikana pale nyumbani. Nyumbani hakukuwa na mtu maana wote huwa tunaenda makazini na shuleni except housemaid aliyekuwa amesafiri wakati huo. Kwa kuhitaji Pasi (Iron) iliyokuwepo chumba cha wasichana kinachotumiwa na housemaid na mdogo wake wife, niliifuata. Next to ilipokuwepo Pasi, kulikuwa na mfuko mdogo wa plastic (Rambo) ambao nilivutiwa kuuangalia.
Nilipoufungua-nilikaribia ku-faint kwa niliyoyaona!!!!! Kulikuwa na karatasi kama 3 zenye maandishi ya kiarabu na in between some lines kulikuwa na ama jina la mke wangu au langu. Pia kulikuwa na karatasi kadhaa zilizoandikwa kiarabu na maelezo kama 'CHOMA OGA 1 X 2 SIKU 3, CHOMA MWINAMO' pia kulikuwa na vitu kama unga unga kwenye makaratasi yenye maelekezo 'CHAKULA LIMBWATA' na 'KUNYWA 1 X 3 SIKU 6 na KUNYWA USIKU TU SIKU 2'.
Kiufupi ni tunguri za limbwata. Nikaenda mjini kuwatafuta wanaojua maandishi haya na kuongeza uhakika niliwaulizia watu wawili tofauti sehemu tofauti na wote walinitafsiria kitu kimoja kwamba ni dawa toka kwa mganga za mtu anaeitwa (jina la mke wangu ndani ya baadhi ya karatasi zile) akitaka kumtia kwenye chupa mtu anaeitwa (jina langu) yaani nisisikie wa kuona wala kupinga chochote!
Nilipowauliza, eti shemeji yangu anasema mzigo ni wa kwake ambapo kwa mimi naamini kaamua kuji-sacrifice. Wife yeye ameendelea kuukana katkata ule mzigo.
My take:
Kama ameshaanza biashara ya waganga wa kienyeji, leo kwa hilo, next time ataniendea kwa lipi? Mke wangu hakuwa mshabiki kabisa wa mambo kama hayo, sasa hofu yangu ni kwamba ameshaanza mambo ya mjini likely kudanganywa na wanawake wa mjini (Tanga) maana ni mambo common.
What should I do?
Maisha yetu kiuchumi na kimahusiano ni mazuri...kama kuna mikwaruzana ni ile 'ya kawaida' ndani ya ndoa.
Sie wote ni asili yetu ya bara na tumekulia katika maadili mazuri ya Kikristo. Wazazi wetu wote hawakuwavalisha watoto wao yale 'makolokolo' ambayo watoto wengi huwa wanavaa na hadi sasa kati yetu wawili hakuna aliye na 'chale' mwilini kumaanisha kwamba hatukuwa waumini wa mambo ya kienyeji!
Last week nilikuwa safarini kikazi lakini nikarudi nyumbani siku 1 kabla ya siku iliyokuwa ikijulikana pale nyumbani. Nyumbani hakukuwa na mtu maana wote huwa tunaenda makazini na shuleni except housemaid aliyekuwa amesafiri wakati huo. Kwa kuhitaji Pasi (Iron) iliyokuwepo chumba cha wasichana kinachotumiwa na housemaid na mdogo wake wife, niliifuata. Next to ilipokuwepo Pasi, kulikuwa na mfuko mdogo wa plastic (Rambo) ambao nilivutiwa kuuangalia.
Nilipoufungua-nilikaribia ku-faint kwa niliyoyaona!!!!! Kulikuwa na karatasi kama 3 zenye maandishi ya kiarabu na in between some lines kulikuwa na ama jina la mke wangu au langu. Pia kulikuwa na karatasi kadhaa zilizoandikwa kiarabu na maelezo kama 'CHOMA OGA 1 X 2 SIKU 3, CHOMA MWINAMO' pia kulikuwa na vitu kama unga unga kwenye makaratasi yenye maelekezo 'CHAKULA LIMBWATA' na 'KUNYWA 1 X 3 SIKU 6 na KUNYWA USIKU TU SIKU 2'.
Kiufupi ni tunguri za limbwata. Nikaenda mjini kuwatafuta wanaojua maandishi haya na kuongeza uhakika niliwaulizia watu wawili tofauti sehemu tofauti na wote walinitafsiria kitu kimoja kwamba ni dawa toka kwa mganga za mtu anaeitwa (jina la mke wangu ndani ya baadhi ya karatasi zile) akitaka kumtia kwenye chupa mtu anaeitwa (jina langu) yaani nisisikie wa kuona wala kupinga chochote!
Nilipowauliza, eti shemeji yangu anasema mzigo ni wa kwake ambapo kwa mimi naamini kaamua kuji-sacrifice. Wife yeye ameendelea kuukana katkata ule mzigo.
My take:
Kama ameshaanza biashara ya waganga wa kienyeji, leo kwa hilo, next time ataniendea kwa lipi? Mke wangu hakuwa mshabiki kabisa wa mambo kama hayo, sasa hofu yangu ni kwamba ameshaanza mambo ya mjini likely kudanganywa na wanawake wa mjini (Tanga) maana ni mambo common.
What should I do?