Engager
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 1,273
- 2,648
Lakisita (Tsh:600000), nnataka nijishughulishe na ununuaji wa dhahabu kutoka kwa wachimbaj wadogowadogo( locally) na kuuza at profit (kwe dealers wakubwa) pengine one day naweza kuwa among great dealer Tanzania au hata kimataifa (ths is ma desire). Hayo ni mawazo yangu wakuu. Naomben ushaur wenu wa kibiashara, should I do it au niachane nayo2. Natanguliza shukran zangu.