Nimejivua Gamba Rasmi

CDM bhana kumbe ndo maana Nape alisema mnajitekenya na kucheka wenyewe!! Lakini chama kikikosa wanachama si vibaya kujifariji kwa namna hii!! ungeonekana mzalendo sana kwa kueweka ID yako halisi ili uvutie wengi, si ajabu ukawa ndo ule padri mzinzi!!

sijaja hapa kutafuta umaarufu
 
Mbona tulishazichoma nyingi tu!

265145_155888057817064_100001876128018_355447_306317_n.jpg
 
Back
Top Bottom