feis buku
JF-Expert Member
- Aug 29, 2011
- 2,342
- 676
- Thread starter
- #21
umefika!!! kkaribuu saana mia!!! kumbe we kijana dogo akili mingii eeh!!!mimi ratiba yangu ipo hivi.saa kumi kumi ntakua mzalendo pale millenium tower. saa mbili usiku ntakuwa viwanja vya posta hadi saa sita usiku. kuanzia saa sita usiku hadi saa kumi na mbili asubuhi ntakua maisha club. kwa hiyo fb usiumize kichwa kuhusu kunipa offer ninachotaka naomba uwe mwenyeji wangu na uwe wa kunishika mkono nisiibiwe, nataka vile vile uwe mtu wa kunielekeza jinsi ya kulala. Mia