Mkushi Da Gama
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 3,695
- 4,985
hii n phylum ipi ya wanawake wana sifa hizo
Hahahahahahaha11: Mpe hela
Ata mi nina plans za kukupa mapenzi hadi unichoke bebeNina plan ya kukupenda hadi ukome babe!
As much as i love you siwezi kukuchoka kamwe babe!......Am missing you so much i wish you are here so that i can hug you tightly!Ata mi nina plans za kukupa mapenzi hadi unichoke bebe
Duuuhh wanawake wa siku hizi mnawaza hela tu11: Mpe hela
Kama JF ni kwazo au anasa kwako inayokuzuia baraka ya kumpataMume mwema, si ni bora uondoke sasa ili ukampate?Hakika nikimpata mwanaume wa vigezo hivyo hapo jamiiforum hawataniona tena ,,nasema hata jutia kunifaham,,,Ee Mungu niaptie yule wa ubavu wangu ninayekuomba kila siku...hakika siku nikimpata JF KWAHERIIIIIIII
Hii mwisho wake ni uharibifu wa uchumi... Uharibifu wa pesa... Ufanyaji mbovu wa kazi kazin and the alike!!!Ata mi nina plans za kukupa mapenzi hadi unichoke bebe
As much as i love you siwezi kukuchoka kamwe babe!......Am missing you so much i wish you are here so that i can hug you tightly!
Wenye wivu wameanza kuibuka!Hii mwisho wake ni uharibifu wa uchumi... Uharibifu wa pesa... Ufanyaji mbovu wa kazi kazin and the alike!!!
joanah Mbona unavunja ahadi?
Inamaana umechooka Sa mbona ni mapema?
Si tu mwanaume... hata mwanamke ambaye kidomo juu... yaan asubuhi.. mchana.. jion ni kuongea tu.. huwa anasababisha amani ikosekane katika mahusiano#7 ni the best kwangu
Sipendi mwanaume anayeropoka ropoka asee
Kwanza mwanaume muongeaji sana pia ni tatizo kwangu