Mshahara wa dhambi ni mauti, pole mrudie Muumba wako maana yeye ndo aliyeumba mwili wako, yeye aliona rangi nyeusi ndo nzuri kwako, mwombe akurudishie, pole
ndugu hata ww hujui uendko, leo kapitiwa yeye nawe hujui utakavyoangukia kesho. 'maisha ni swali'BOFLO, hayo umejitakia mwenyewe. Mungu alikuumba na kukupata rangi nyeusi nzuri lakini Lucifer akaingia akilini kwako na kukudanganya kwamba weupe ndio mali. Ona inakula kwako. Mchumba amesepa, cancer inanyemelea, mtoto huna na kaburi tayari umeshachimba bado kuweka tani saba za mchanga. Mwisho wako utakuwa kama wa Michael Jackson.
unataka kuwa mweupe? Ptuuu itakula kwakohabari pole sana na asante kwa kutuambia naomba uniambie dawa gani hiyo ulinunua kwa sababu na mie pia nimenunua hiyo dawa ya glutathione ivory cost vidonge nataka nile kama vinazuru hv pia naomba mniambie nitaviuzq manake hata sijafungua bado na nimesearch net kote wnasema havina side effects je nyie ndugi zangu nisaidieni mtanzania mwenzenu
wala sio basi tu ujingaHivi kumbe weupe ni dili?
Habari pole sana na asante kwa kutuambia naomba uniambie dawa gani hiyo ulinunua kwa sababu na mie pia nimenunua hiyo dawa ya glutathione ivory cost vidonge nataka nile kama vinazuru hv pia naomba mniambie nitaviuzq manake hata sijafungua bado na nimesearch net kote wnasema havina side effects je nyie ndugi zangu nisaidieni mtanzania mwenzenu
POLE SAANA,japokuwa ni makosa umefanya kwa kujichubua.the only solution ni kusafisha hiyo damu as you hv mentioned.inaonekana huyo muenza wako hakupendi.couse hayuko kwenye shida na raha.nakushauri uonane naye huyo mwenzako na muongee ni jinsi mjipange ili muweze kusafisha damu.umueleze ukweli kuhusiana na tatizo lako.mnaweza mkajichangisha both wewe na mwenzako na mungu akawajaalia mkapata huo uwezo.mwaweza mkatafuta mdhamini.for example waweza kopa hela kazini kwako na wakukate kidogokidogo katika mshahara wako.
NAKUTAKIA KILA LA KHERI.MUNGU AKUJAALIE WEPESI KATIKA TATIZO LAKO UFANIKISHE TIBA YAKE.
Yote ni mitihani ya maisha
Unajua huyu dada kaomba ushauri tu, ila mtu kama hauna hoja ni bora upite tu humu..
Mm ninachomshauri dada yetu ni kusafisha damu tu na kama issue ni pesa njoo Bongo utengeneze harambee mbona harusi watu wanachangia ije kuwa ugonjwa bana..
Mm mwenye ukiwasiliana vizuri nitachangia 50,000 sio ndogo kwa kuanzia dada, ukipata wa2 mia damu imesafishwa
Unajua huyu dada kaomba ushauri tu, ila mtu kama hauna hoja ni bora upite tu humu..
Mm ninachomshauri dada yetu ni kusafisha damu tu na kama issue ni pesa njoo Bongo utengeneze harambee mbona harusi watu wanachangia ije kuwa ugonjwa bana..
Mm mwenye ukiwasiliana vizuri nitachangia 50,000 sio ndogo kwa kuanzia dada, ukipata wa2 mia damu imesafishwa