Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Bange zingine za kuzaliwa nayo
una hakika hujawahi kuvuta bange maishani mwako? Kumbuka vizuri..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
una hakika hujawahi kuvuta bange maishani mwako? Kumbuka vizuri..
Ndugu zanguni,
nimekumbwa na kituko kibaya mjini arusha. Nilienda na ndugu yangu Bar jana, tukaagiza chakula. Tulikuwa tumeshakunywa konyagi kidogo. mhudumu kuleta chakula, akatuacha kwa kama dakika tano bila kutuletea maji ya kunawa. Nikaumuita na mazungumzo yakawa kama ifuatavyo:
Mimi: Oyaa mhudumu, mbona haujaleta maji, vipi?
Mhudumu: Oh, sikuleta kwa sababu nilidhani nyote wawili mnatumia NYUMA.
Mimi: Eti nini (huku nikiamka, na nikampiga kichwa kibaya sana, mhudumu chini, damu toka puani eneo lote lile). Baadae nikaeleweshwa kwamba alikuwa ana maana forks ambayo wingi wake ni Nyuma, ikiwa moja, ni umma.
Ndugu zanguni, hapa tatizo ni konyagi? au kutoelewana lugha?
Ndugu zanguni,
nimekumbwa na kituko kibaya mjini arusha. Nilienda na ndugu yangu Bar jana, tukaagiza chakula. Tulikuwa tumeshakunywa konyagi kidogo. mhudumu kuleta chakula, akatuacha kwa kama dakika tano bila kutuletea maji ya kunawa. Nikaumuita na mazungumzo yakawa kama ifuatavyo:
Mimi: Oyaa mhudumu, mbona haujaleta maji, vipi?
Mhudumu: Oh, sikuleta kwa sababu nilidhani nyote wawili mnatumia NYUMA.
Mimi: Eti nini (huku nikiamka, na nikampiga kichwa kibaya sana, mhudumu chini, damu toka puani eneo lote lile). Baadae nikaeleweshwa kwamba alikuwa ana maana forks ambayo wingi wake ni Nyuma, ikiwa moja, ni umma.
Ndugu zanguni, hapa tatizo ni konyagi? au kutoelewana lugha?
Tatizo ni ujinga wakoNdugu zanguni,
nimekumbwa na kituko kibaya mjini arusha. Nilienda na ndugu yangu Bar jana, tukaagiza chakula. Tulikuwa tumeshakunywa konyagi kidogo. mhudumu kuleta chakula, akatuacha kwa kama dakika tano bila kutuletea maji ya kunawa. Nikaumuita na mazungumzo yakawa kama ifuatavyo:
Mimi: Oyaa mhudumu, mbona haujaleta maji, vipi?
Mhudumu: Oh, sikuleta kwa sababu nilidhani nyote wawili mnatumia NYUMA.
Mimi: Eti nini (huku nikiamka, na nikampiga kichwa kibaya sana, mhudumu chini, damu toka puani eneo lote lile). Baadae nikaeleweshwa kwamba alikuwa ana maana forks ambayo wingi wake ni Nyuma, ikiwa moja, ni umma.
Ndugu zanguni, hapa tatizo ni konyagi? au kutoelewana lugha?
Under eiteen.
Dah Wewe Mtunzi mzuri wa fiction!....
kwani ulielewaje?
Una bahati sikuwa maeneo hayo kwani ungejuta kuzaliwa, mimi huwa upuuzi siwezi kuvumilia ningekutandika mpaka ujute.
Ndugu zanguni,
nimekumbwa na kituko kibaya mjini arusha. Nilienda na ndugu yangu Bar jana, tukaagiza chakula. Tulikuwa tumeshakunywa konyagi kidogo. mhudumu kuleta chakula, akatuacha kwa kama dakika tano bila kutuletea maji ya kunawa. Nikaumuita na mazungumzo yakawa kama ifuatavyo:
Mimi: Oyaa mhudumu, mbona haujaleta maji, vipi?
Mhudumu: Oh, sikuleta kwa sababu nilidhani nyote wawili mnatumia NYUMA.
Mimi: Eti nini (huku nikiamka, na nikampiga kichwa kibaya sana, mhudumu chini, damu toka puani eneo lote lile). Baadae nikaeleweshwa kwamba alikuwa ana maana forks ambayo wingi wake ni Nyuma, ikiwa moja, ni umma.
Ndugu zanguni, hapa tatizo ni konyagi? au kutoelewana lugha?
Pengine wewe kuambiwa 'sijaleta maji, nilidhani unatumia nyuma', ni kitu ambacho kingekufanya utoe tabasamu. Sio mimi. Na wewe ningekupiga ndoo ya kufa mtu, najulikana kwa hilo, ukikaa vibaya tu, meno hauna;