Nimejeruhi Vibaya Mhudumu wa Bar

Ndugu zanguni,
nimekumbwa na kituko kibaya mjini arusha. Nilienda na ndugu yangu Bar jana, tukaagiza chakula. Tulikuwa tumeshakunywa konyagi kidogo. mhudumu kuleta chakula, akatuacha kwa kama dakika tano bila kutuletea maji ya kunawa. Nikaumuita na mazungumzo yakawa kama ifuatavyo:

Mimi: Oyaa mhudumu, mbona haujaleta maji, vipi?

Mhudumu: Oh, sikuleta kwa sababu nilidhani nyote wawili mnatumia NYUMA.

Mimi: Eti nini (huku nikiamka, na nikampiga kichwa kibaya sana, mhudumu chini, damu toka puani eneo lote lile). Baadae nikaeleweshwa kwamba alikuwa ana maana forks ambayo wingi wake ni Nyuma, ikiwa moja, ni umma.

Ndugu zanguni, hapa tatizo ni konyagi? au kutoelewana lugha?


kwani ulielewaje?
 
Ndugu zanguni,
nimekumbwa na kituko kibaya mjini arusha. Nilienda na ndugu yangu Bar jana, tukaagiza chakula. Tulikuwa tumeshakunywa konyagi kidogo. mhudumu kuleta chakula, akatuacha kwa kama dakika tano bila kutuletea maji ya kunawa. Nikaumuita na mazungumzo yakawa kama ifuatavyo:

Mimi: Oyaa mhudumu, mbona haujaleta maji, vipi?

Mhudumu: Oh, sikuleta kwa sababu nilidhani nyote wawili mnatumia NYUMA.

Mimi: Eti nini (huku nikiamka, na nikampiga kichwa kibaya sana, mhudumu chini, damu toka puani eneo lote lile). Baadae nikaeleweshwa kwamba alikuwa ana maana forks ambayo wingi wake ni Nyuma, ikiwa moja, ni umma.

Ndugu zanguni, hapa tatizo ni konyagi? au kutoelewana lugha?


Ulikurupuka kumpiga kama ulivokurupuka kutuletea upuuzi humu Jf.
 
Ndugu zanguni,
nimekumbwa na kituko kibaya mjini arusha. Nilienda na ndugu yangu Bar jana, tukaagiza chakula. Tulikuwa tumeshakunywa konyagi kidogo. mhudumu kuleta chakula, akatuacha kwa kama dakika tano bila kutuletea maji ya kunawa. Nikaumuita na mazungumzo yakawa kama ifuatavyo:

Mimi: Oyaa mhudumu, mbona haujaleta maji, vipi?

Mhudumu: Oh, sikuleta kwa sababu nilidhani nyote wawili mnatumia NYUMA.

Mimi: Eti nini (huku nikiamka, na nikampiga kichwa kibaya sana, mhudumu chini, damu toka puani eneo lote lile). Baadae nikaeleweshwa kwamba alikuwa ana maana forks ambayo wingi wake ni Nyuma, ikiwa moja, ni umma.

Ndugu zanguni, hapa tatizo ni konyagi? au kutoelewana lugha?
Tatizo ni ujinga wako
 
pole kwa kupigwa kichwa na mhudumu kisha ulivyo muongo unasingizia wewe ndo uliye mpiga!
 
kwani ulielewaje?

Arusha watu wengi wana maneno ya dharau na ubabe, kwani ni mara chache sana kusikia wanaume arusha wakiongea lugha za kistaarabu, hasa maeneo ya bar, na hata yule mhudumu alikuwa amekaa kisela sela kwahiyo matamshi yake mimi nikamchanganya huko huko. Suala lilimalizika pale pale kwani yule jamaa yangu niliekuwa nae pale ni chali wa pale arusha, baada ya simu moja mbili mambo yakakaa sawa. Hiki ni kisa cha kweli, whether mseme ni ujinga wangu, bangi n.k, nilichoeleza ndicho kilichotokea.
 
Una bahati sikuwa maeneo hayo kwani ungejuta kuzaliwa, mimi huwa upuuzi siwezi kuvumilia ningekutandika mpaka ujute.
 
Una bahati sikuwa maeneo hayo kwani ungejuta kuzaliwa, mimi huwa upuuzi siwezi kuvumilia ningekutandika mpaka ujute.

Pengine wewe kuambiwa 'sijaleta maji, nilidhani unatumia nyuma', ni kitu ambacho kingekufanya utoe tabasamu. Sio mimi. Na wewe ningekupiga ndoo ya kufa mtu, najulikana kwa hilo, ukikaa vibaya tu, meno hauna;
 
Ndugu zanguni,
nimekumbwa na kituko kibaya mjini arusha. Nilienda na ndugu yangu Bar jana, tukaagiza chakula. Tulikuwa tumeshakunywa konyagi kidogo. mhudumu kuleta chakula, akatuacha kwa kama dakika tano bila kutuletea maji ya kunawa. Nikaumuita na mazungumzo yakawa kama ifuatavyo:

Mimi: Oyaa mhudumu, mbona haujaleta maji, vipi?

Mhudumu: Oh, sikuleta kwa sababu nilidhani nyote wawili mnatumia NYUMA.

Mimi: Eti nini (huku nikiamka, na nikampiga kichwa kibaya sana, mhudumu chini, damu toka puani eneo lote lile). Baadae nikaeleweshwa kwamba alikuwa ana maana forks ambayo wingi wake ni Nyuma, ikiwa moja, ni umma.

Ndugu zanguni, hapa tatizo ni konyagi? au kutoelewana lugha?

Hii ni stori ya kujitungia na siyo ya kwali na kungekuwa na ukweli ungetuambia baada ya pale nini kiliendelea
 
Pengine wewe kuambiwa 'sijaleta maji, nilidhani unatumia nyuma', ni kitu ambacho kingekufanya utoe tabasamu. Sio mimi. Na wewe ningekupiga ndoo ya kufa mtu, najulikana kwa hilo, ukikaa vibaya tu, meno hauna;

Mbona wenzako wameshafungua shule wewe hujaenda shule mbona?
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom