Freelancer
JF-Expert Member
- Sep 22, 2008
- 2,965
- 2,141
te
teh teh teh practice will make it perfectHeshima kweny wakuu,
Nimejitahidi kukaanga chips zikaungua kidogo. Sijajua nimekosea wapi, nlitaka nitoe Chips zilizokauka laini na tamu kama zile za pale kwa mdebwedo.
Naomba msaada;
Ni hatua gani zinapaswa kufuatwa ili itoke chips amizing? Naomba utaratibu wa kufuata ili wkend ijayo niitengeneze vizuri. Halafu wkend hii nina mgeni.
Msaada wakuu.
View attachment 389813
Hii nliyotengeneza imeungua kidogo.