Heshima kweny wakuu,
Nimejitahidi kukaanga chips zikaungua kidogo. Sijajua nimekosea wapi, nlitaka nitoe Chips zilizokauka laini na tamu kama zile za pale kwa mdebwedo.
Naomba msaada;
Ni hatua gani zinapaswa kufuatwa ili itoke chips amizing? Naomba utaratibu wa kufuata ili wkend ijayo niitengeneze vizuri. Halafu wkend hii nina mgeni.
Msaada wakuu.
View attachment 389813
Hii nliyotengeneza imeungua kidogo.
Zinatakiwa zisiungue,,, Yaani hiyo rangi ya viazi iwe kama inataka kubadilika lakini kwa mbaliiiii saanaZinatakiwa ziweje sasa? nielekeze pls.
nilishazila...Tuone picha..acha uongo bana
Duuu sasa mbona hizo zilizoungua ni ndefu hivyo au ni viazi ndizi!!Heshima kweny wakuu,
Nimejitahidi kukaanga chips zikaungua kidogo. Sijajua nimekosea wapi, nlitaka nitoe Chips zilizokauka laini na tamu kama zile za pale kwa mdebwedo.
Naomba msaada;
Ni hatua gani zinapaswa kufuatwa ili itoke chips amizing? Naomba utaratibu wa kufuata ili wkend ijayo niitengeneze vizuri. Halafu wkend hii nina mgeni.
Msaada wakuu.
View attachment 389813
Hii nliyotengeneza imeungua kidogo.
Hiyo brew ulimaanisha nn,umeshaharibu mapishi sasa.Jaribu kufuata hatua hizi...
Hatua ya kwanza ni kuosha viazi na kuvikata kata kama ulivyofanya..cha muhimu viwe na ukubwa unaolingana lasivyo utajikuta vingine vimeiva na vingine bado..Na kuna mdau hapo juu kakushauri kununua kimashine??cha kukatia.
Hatua ya pili chemsha mafuta yako yawe ya moto sana kama 160c (temp.) Baada yapo weka viazi vyako hakikasha mafuta yamefunka hivyo viazi..kaanga kama dk 5 mpk 8.
Hatua ya tatu viondoe viazi/chips zako katika mafuta, acha mafuta yachemke tena kama mwanzo yaani 160c (kumbuka ulipoweka viazi katika mafuta yako moto ulipungua kwani viazi vina maji mengi) baada ya hapo weka viazi vyako tena ndani ya mafuta na pika km dk 5 mpk 10 au mpaka viwe rangi ya kahawia (brew) .
MB. Chips ngumu ni kupunguza moto wakati wa kupika, ingawaje chips za kujitengenezea ni vigumu kuwa mgumu..Za madukani zina process kidogo ( siifahamu vile) nafikiri uwa wanaziweka kwenye mafuta kidogo za kuzifreeze hapo hapo.. (sina uhakika.)
Inachekeshaga sana mtu anaweka kitu jikoni afu anaenda ndani anaangalia TV au analala kabisa1. Acha kuchat au kufanya shughuli nyingine wakati unapika kama wewe si mpishi mzoefu unaeweza kukadiria muda na huna recipe.
Hii kweli imeungua kidogo. AiseeHeshima kweny wakuu,
Nimejitahidi kukaanga chips zikaungua kidogo. Sijajua nimekosea wapi, nlitaka nitoe Chips zilizokauka laini na tamu kama zile za pale kwa mdebwedo.
Naomba msaada;
Ni hatua gani zinapaswa kufuatwa ili itoke chips amizing? Naomba utaratibu wa kufuata ili wkend ijayo niitengeneze vizuri. Halafu wkend hii nina mgeni.
Msaada wakuu.
View attachment 389813
Hii nliyotengeneza imeungua kidogo.
Mmmh..mbona washangaa?? kwani wewe waweza?"..zimeungua kidogo" Kk hiyo ndo "kidogo" yako!!! Dah
Heshima kweny wakuu,
Nimejitahidi kukaanga chips zikaungua kidogo. Sijajua nimekosea wapi, nlitaka nitoe Chips zilizokauka laini na tamu kama zile za pale kwa mdebwedo.
Naomba msaada;
Ni hatua gani zinapaswa kufuatwa ili itoke chips amizing? Naomba utaratibu wa kufuata ili wkend ijayo niitengeneze vizuri. Halafu wkend hii nina mgeni.
Msaada wakuu.
View attachment 389813
Hii nliyotengeneza imeungua kidogo.
hizo ni chips za kuchoma