Nimejaribu kukaanga Chips sijafanikiwa sana, msaada jamani

Heshima kweny wakuu,

Nimejitahidi kukaanga chips zikaungua kidogo. Sijajua nimekosea wapi, nlitaka nitoe Chips zilizokauka laini na tamu kama zile za pale kwa mdebwedo.

Naomba msaada;

Ni hatua gani zinapaswa kufuatwa ili itoke chips amizing? Naomba utaratibu wa kufuata ili wkend ijayo niitengeneze vizuri. Halafu wkend hii nina mgeni.

Msaada wakuu.
View attachment 389813
Hii nliyotengeneza imeungua kidogo.
 
Hahahahaha dah nimecheka sana mkuu!
Ukitaka chipsi kavu iliyokauka jitahidi kukata viazi vyembamba na sio manene manene na lazima ukadirie kila mkaango usizidi 20 au 15 min.
 
Heshima kweny wakuu,

Nimejitahidi kukaanga chips zikaungua kidogo. Sijajua nimekosea wapi, nlitaka nitoe Chips zilizokauka laini na tamu kama zile za pale kwa mdebwedo.

Naomba msaada;

Ni hatua gani zinapaswa kufuatwa ili itoke chips amizing? Naomba utaratibu wa kufuata ili wkend ijayo niitengeneze vizuri. Halafu wkend hii nina mgeni.

Msaada wakuu.
View attachment 389813
Hii nliyotengeneza imeungua kidogo.
Duuu sasa mbona hizo zilizoungua ni ndefu hivyo au ni viazi ndizi!!
 
Jaribu kufuata hatua hizi...

Hatua ya kwanza ni kuosha viazi na kuvikata kata kama ulivyofanya..cha muhimu viwe na ukubwa unaolingana lasivyo utajikuta vingine vimeiva na vingine bado..Na kuna mdau hapo juu kakushauri kununua kimashine??cha kukatia.

Hatua ya pili chemsha mafuta yako yawe ya moto sana kama 160c (temp.) Baada yapo weka viazi vyako hakikasha mafuta yamefunka hivyo viazi..kaanga kama dk 5 mpk 8.

Hatua ya tatu viondoe viazi/chips zako katika mafuta, acha mafuta yachemke tena kama mwanzo yaani 160c (kumbuka ulipoweka viazi katika mafuta yako moto ulipungua kwani viazi vina maji mengi) baada ya hapo weka viazi vyako tena ndani ya mafuta na pika km dk 5 mpk 10 au mpaka viwe rangi ya kahawia (brew) .


MB. Chips ngumu ni kupunguza moto wakati wa kupika, ingawaje chips za kujitengenezea ni vigumu kuwa mgumu..Za madukani zina process kidogo ( siifahamu vile) nafikiri uwa wanaziweka kwenye mafuta kidogo za kuzifreeze hapo hapo.. (sina uhakika.)
Hiyo brew ulimaanisha nn,umeshaharibu mapishi sasa.
 
Hahahahhaha unapika huku umekaa ndani ehh..jiko unaacha nje..unadhan kupika lelemama lol
Ukiweka viazi kuwa jirani, ts the easiest food to cook

Njia nyingine
Kata viazi vyako tia chumvi kidogo Chemsha dk 5 zipoe,freeze alafu kaanga zikiwa za baridi
Sijawahi jaribu lakini hii..ni msomaji wa recipe sanaa
 
1. Acha kuchat au kufanya shughuli nyingine wakati unapika kama wewe si mpishi mzoefu unaeweza kukadiria muda na huna recipe.
Inachekeshaga sana mtu anaweka kitu jikoni afu anaenda ndani anaangalia TV au analala kabisa
Imagine kaacha maziwa, nyama au maharage
 
sio kwa kuungua huko, jaribu kugoogle utapata majibu jinsi ya kupika chips.. kaa mbali na simu ukimaliza kugoogle ili usiunguze tena
 
Heshima kweny wakuu,

Nimejitahidi kukaanga chips zikaungua kidogo. Sijajua nimekosea wapi, nlitaka nitoe Chips zilizokauka laini na tamu kama zile za pale kwa mdebwedo.

Naomba msaada;

Ni hatua gani zinapaswa kufuatwa ili itoke chips amizing? Naomba utaratibu wa kufuata ili wkend ijayo niitengeneze vizuri. Halafu wkend hii nina mgeni.

Msaada wakuu.
View attachment 389813
Hii nliyotengeneza imeungua kidogo.
Hii kweli imeungua kidogo. Aisee
 
Heshima kweny wakuu,

Nimejitahidi kukaanga chips zikaungua kidogo. Sijajua nimekosea wapi, nlitaka nitoe Chips zilizokauka laini na tamu kama zile za pale kwa mdebwedo.

Naomba msaada;

Ni hatua gani zinapaswa kufuatwa ili itoke chips amizing? Naomba utaratibu wa kufuata ili wkend ijayo niitengeneze vizuri. Halafu wkend hii nina mgeni.

Msaada wakuu.
View attachment 389813
Hii nliyotengeneza imeungua kidogo.

Hapo ndio zimeungua kidogo mkuu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom