Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,440
- 45,715
mbavu zangu, watu mna manenohizo ni chips za kuchoma
mbavu zangu, watu mna manenohizo ni chips za kuchoma
BAK siku hizi nmekua mtaalamu wa chapati ha ha ha acha kabisaWatakuja wajuzi wakusaidie Mkuu. Hii picha imenikumbusha chapati za Evelyn Salt ambazo mwenyewe alidai kutengeneza mduara kawaachia mamodel, kwi kwi kwi kwi lol!
Tuone picha..acha uongo banaKumbe siko peke angu nmetoka kuunguza samaki na mm zmekua mkaa lol
Umenlet down aisee!..hata chapati zakushinda!..duh!BAK siku hizi nmekua mtaalamu wa chapati ha ha ha acha kabisa
Nlikua napika kuni sio chapati zile, ukimaliza moja lazma taya iumeUmenlet down aisee!..hata chapati zakushinda!..duh!
BAK siku hizi nmekua mtaalamu wa chapati ha ha ha acha kabisa
Hongera sana. Chips hujui pika? Njoo unifundisheNlikua napika kuni sio chapati zile, ukimaliza moja lazma taya iume
Kwanza nunua cha kukatia chips, zinakua na shape nzuriHongera sana. Chips hujui pika? Njoo unifundishe
Ha ha ha ha ha za siku hizi zina duaraHahahahahahah lol! hatimaye nawe umeamua kuwa model kwa kutengeneza mduara wa chapati, hongera sana. Huge improvement ila zilikuwa tamu sana pamoja na kutokuwa na mduara.
Hizo hazijaungua kidogo...Heshima kweny wakuu,
Nimejitahidi kukaanga chips zikaungua kidogo. Sijajua nimekosea wapi, nlitaka nitoe Chips zilizokauka laini na tamu kama zile za pale kwa mdebwedo.
Naomba msaada;
Ni hatua gani zinapaswa kufuatwa ili itoke chips amizing? Naomba utaratibu wa kufuata ili wkend ijayo niitengeneze vizuri. Halafu wkend hii nina mgeni.
Msaada wakuu.
View attachment 389813
Hii nliyotengeneza imeungua kidogo.
Si kweli. Mbona zilikika vizuri tu??Hizo hazijaungua kidogo...
Zimeungua kabisa
Hili hapa ndo nukwaa la mapishi. Inaonekana hata wewe ni kama mimi tu katika mapishi, mbona hunielekezi?Tafuta jukwaa la mapishi kama halipo pole saana... Kama vip nenda YouTube au Google maana humu ndani watu wenye busara wanahesabikaa....
Asante sana Alinda. Unaonekana wewe ni mtaalam kweli kweli. Umenipa mwanga. Je umeolewa?Jaribu kufuata hatua hizi...
Hatua ya kwanza ni kuosha viazi na kuvikata kata kama ulivyofanya..cha muhimu viwe na ukubwa unaolingana lasivyo utajikuta vingine vimeiva na vingine bado..Na kuna mdau hapo juu kakushauri kununua kimashine??cha kukatia.
Hatua ya pili chemsha mafuta yako yawe ya moto sana kama 160c (temp.) Baada yapo weka viazi vyako hakikasha mafuta yamefunka hivyo viazi..kaanga kama dk 5 mpk 8.
Hatua ya tatu viondoe viazi/chips zako katika mafuta, acha mafuta yachemke tena kama mwanzo yaani 160c (kumbuka ulipoweka viazi katika mafuta yako moto ulipungua kwani viazi vina maji mengi) baada ya hapo weka viazi vyako tena ndani ya mafuta na pika km dk 5 mpk 10 au mpaka viwe rangi ya kahawia (brew) .
MB. Chips ngumu ni kupunguza moto wakati wa kupika, ingawaje chips za kujitengenezea ni vigumu kuwa mgumu..Za madukani zina process kidogo ( siifahamu vile) nafikiri uwa wanaziweka kwenye mafuta kidogo za kuzifreeze hapo hapo.. (sina uhakika.)
Umbeahahahahaha
Weka picha ukiwa unakula...Si kweli. Mbona zilikika vizuri tu??