tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
Ulitaka watume alfajiri?
OTIS
teh teh teh kumbe kinyume cha usiku wa manane ni alfajiri?
Ulitaka watume alfajiri?
OTIS
Jamani hili jukwaa limekua na mchango mkubwa sana, khs kuitwa NSSF kwa ajili ya aptitude test, mlioitwa kama unanafac ya kwenda kuafanya hyo test muende, wanahitajka watu wengi c chini ya 80 kwa jumla ya post zote, msikatwishwe tamaa
binafsi nimepata hio sms yao muda huu,ila tatizo sikumbuki vyema niliapply kitu gani,jaman wadau na mimi nimepata hiyo sms lakin tatizo sikumbuki hata niliaply post gan tafadhali anayekumbuka post zilizotangazwa naomba anitajie afu kingne
jaman wadau na mimi nimepata hiyo sms lakin tatizo sikumbuki hata niliaply post gan tafadhali anayekumbuka post zilizotangazwa naomba anitajie afu kingne
na hawa wanaodai ni watu 7? Au wanataka waende wao peke yao?
Jamani hili jukwaa limekua na mchango mkubwa sana, khs kuitwa NSSF kwa ajili ya aptitude test, mlioitwa kama unanafac ya kwenda kuafanya hyo test muende, wanahitajka watu wengi c chini ya 80 kwa jumla ya post zote, msikatwishwe tamaa
Tindikalikali, this is psychological game, those who fear u in the fied of battle are ready to do anything necessary under their power to make sure that u won't appear in the field of battle, so that they can easily get the victory for ur absence.
Kwahyo usishangae jinsi wanavyokatisha wenzao tamaa.
Na mimi nimetumiwa sms jana kwenye saa 6 kasoro usiku!!
But mimi nimeambiwa nikafanye usajili kwanza pale NSSF WATERFRONT HOUSE kuanzia leo hadi tarehe 30!!
In addition kuna jamaa yangu naye katumiwa message kama ya kwangu!!
Naomba kujuzwa ilipo NSSF WATERFRONT HOUSE
nenda na kalamu ni test ya kuandika hiyo
usumbufu wote uo ni kalaki ka 6 au ka 8, hapo hakajakatwa! aise machizi 2we wabunifu maana ajira cio ishu kbsa!