Wakumwitu
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 370
- 82
Wadau leo nimeitwa kwenye interview na NSSF. Namshukuru Mungu kwa hatua hiyo.
lakini Hofu zangu ni zifuatazo,
Kwanini watumie sms? wapo serious kweli?
Interview inafanyika IFM!! obvious ni watu wengi sana wameitwa, je ni kama ile ya UDOM na NHIF?
sms yenyewe inasomeka hivi,
We refer to your application for employment with NSSF. We would like to invite you for an aptitude test to be conducted at the Institute of Finance Management(IFM) campus Shaaban Robert street in Dar es Salaam on Saturday, 31st December, 2011 at 12:00PM.....
(nimeifupisha kuokoa muda)
Je kuna yeyote humu na yeye ametumiwa sms hiyo?
Kaka kutumiwa Text Message kwenye simu isikustue. Jiandae na interview ukawakilishe vyema. Kumbuka kwenye tangazo la kazi walisema weka e-mail na namba ya simu. Hicho tuu kinanifanya niamini ni genuine. Sasa uuliza kitu gani huwa wanauliza????? ili ujiandae kufanya interview na si kuhudhulia interview. Interview njema mzee. GOOD LUCK