Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,319
baba mmoja amemuandalia kijana wake bag party (sijui ndo zinaitwa hivyo!), kwa ajili ya kumpa mawaidha ya mwisho, kabla hajaoa hivi karibuni. Katika hali ambayo sikuitarajia,amenialika kama mmoja wa watoa mawaidha kwa kijana siku hiyo eti kama kijana mwenzake, niliyeoa miaka ya karibuni. Sasa najiuliza nikaongee nini? Asprin, Roya, Teamo, Finest na wengine, hebu nipeni point... Baba Askofu naomba uzichuje vizuri watakapozitoa, zisiende kumuharibu kijana...