Nimechoka na kero za mpenz wangu.nikaamua kumwambia "it ova" na kuitupa ring yenye thamani kwenye dampo..mana nimeona kuuza c vizur.bora nitoe uthaman.
Nimechoka na kero za mpenz wangu.nikaamua kumwambia "it ova" na kuitupa ring yenye thamani kwenye dampo..mana nimeona kuuza c vizur.bora nitoe uthaman.
safi sana ngoja niku-PM...ila inaonekana wewe hata kujinyonga hakukombali....Nimechoka na kero za mpenz wangu.nikaamua kumwambia "it ova" na kuitupa ring yenye thamani kwenye dampo..mana nimeona kuuza c vizur.bora nitoe uthaman.
yupo kwenye kundi hili 7 guestseeeh hii kali kwakweli amekimbia hata majibu hatoi,msaidieni jamani ana hasira mpeni moyo
una mpongeza ili baadae uanze ndogondogo...hahahahahahaI do understand you very well!!
Kwa kuitupa hiyo ring ndio kumbukumbu zake zinaisha vizuri, yale machungu ya kutupa ring ya Thamani, yanakuongezea nguvu ya kukataa, na kumsahau kabisa.
nakuunga mkono siamini ktk pete naamini kwa kitu toka moyoni siyo kipande cha bati kama anakuyayusha aeleweki achana naye anza upya mlango mmoja ukifugwa behold seven dorr are open so shake your dust and possition yourself kwa mchuma mpyanimechoka na kero za mpenz wangu.nikaamua kumwambia "it ova" na kuitupa ring yenye thamani kwenye dampo..mana nimeona kuuza c vizur.bora nitoe uthaman.
mtu kama huyo hupaswi kumwita mpenzi wako huyo ni mwizi wa moyo wako msumbuvu barazuri vaislay you shall live long ,soon invite me to another kidate wewe unaonekana unaisimamo ya kimapinduzinimechoka na kero za mpenz wangu.nikaamua kumwambia "it ova" na kuitupa ring yenye thamani kwenye dampo..mana nimeona kuuza c vizur.bora nitoe uthaman.
<br />Mkuu nimeshindwa kujua anataka nini tumpongeze au tumcheke au tumshauri aende akaiokote au aiache humo humo
mtu kama huyo hupaswi kumwita mpenzi wako huyo ni mwizi wa moyo wako msumbuvu barazuri vaislay you shall live long ,soon invite me to another kidate wewe unaonekana unaisimamo ya kimapinduzi[/QUOTE]
akhaaaa!!
<br />Kumbuka wanawake mpo wengi mno na ligi yenu ni kubwa pambana utakecontrol
usijeenda dampo kuitafuta baadae ..