Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,582
Mtafutie wewe mtaani kwako/kazini kwako..
Bado unataka lile shavu la maboksi?
Mtafutie wewe mtaani kwako/kazini kwako..
Yeye mwenyewe ni Husband Material? Akienda Mwanza atakutana na cotton material, Tanga naUfundi MATERIAL, Mbeya na Hiv & aids material, .........................ooops Sumbawanga na Wanga Material, Arusha na Lema material, Kigoma na wese material, Shinyanga na Red Eyes materials......the list goes on and on
Bado unataka lile shavu la maboksi?
Nenda kwenye makanisa ya walokole kule kuna wadada weengii wamekimbilia huko kuombewa kupata wachumba kuna walioahidiwa kupata wachumba so mcheki tu Nabii atakuunganisha na utakayempenda:lol:
Yeye mwenyewe ni Husband Material? Akienda Mwanza atakutana na cotton material, Tanga naUfundi MATERIAL, Mbeya na Hiv & aids material, .........................ooops Sumbawanga na Wanga Material, Arusha na Lema material, Kigoma na wese material, Shinyanga na Red Eyes materials......the list goes on and on
Ye aje tu atatukuta kina waifu matirio tumejaa tele
sasa atamuweza aliyeokoka kaka yeye hajaokoka?vipi kama ni muislamu?
Nenda kwenye makanisa ya walokole kule kuna wadada weengii wamekimbilia huko kuombewa kupata wachumba kuna walioahidiwa kupata wachumba so mcheki tu Nabii atakuunganisha na utakayempenda:lol:
Kuokoka waaapi ulidanganywa si king'aacho ni dhahabu dini si ishu kabisa mbona ndoa kibao za mseto watu wanapeta tuuu hakyanani nawaambia kule makanisa ya walokole ndo kwenyewe angalia idadi kubwa ya wanawake wanaoenda kule wengi ndo ishu hizo zinawapeleka wengine wametendwa na mabazazi so wamemkimbilia Mungu changamieni hiyo dili!!!
Okada, hebu mwambie anitumie tiketi na pesa za visa fasta kabla wengine hawajaniwahi! Lol
Mwambie mke mwema anapatikana ili mradi amuombe MUNGU.
mbona kashakuwa babu sasa! Mi wife material ila atanifataki. Lol.
aminia Husninyo..yaani we unafaa uolewa na mme mjanja kama mimi, coz your fast thinker and visionery woman...nilitaka nikutoe siku moja lakini inaoneka bado uko kwenye ulinzi mkubwa wa wazazi..