Nimeipenda hii toka kwa January Makamba on twitter

JMakamba We may run, swim, walk, stumble, drive, or fly, but let us never lose sight of the reason
for the journey, "A BETTER COUNTRY". 36 minutes ago

Huyu dogo ni fighter but on the wrong side of the battle field
 
Mkuu unajua leo siku nzima nilikuwa naipitia Katiba yetu na kuikuta ni bomba sana ktk maswala ya Ujenzi wa Taifa na lipi common goal kama ulivyosema, lakini tumeshindwa kufuata karibu yote yaani sasa hivi tunaendeshwa na katiba isiyokuwepo. Ni wanafiki kama tulivyo wanafiki ktk imani za dini ukisoma vitabu vinasema hivi waumini tunafanya tofauti.. Nakuomba sana ebu pitia Katiba utazame jinsi inavyopiga vita mambo yote machafu tunayoyafanya leo sasa najiuliza hiyo better country ndio ipi?..maana hata kwenda motoni inaweza kuwa better kwa shetani alotaka kwenda huko.

mkuu kama tunaweza kuwa na itikadi ya ujamaa na kuishi ubepari unategemea nini? Najua sana katika makabrasha yaliyojaa kwenye wizara na idara za serikali yetu kuna sera bora sana ambazo leo hii wamarekani wanaweza kuzichukua na kuzitumia na kufanya maajabu. Tatizo ni kuwa hatuna misingi ya kufanya mambo yetu kutokana na yale yaliyoandikwa kwenye vitabu na wataala walioona mbali, mfano katika uchumi, kilimo, siasa, teknolojia, n.k. Kinachofanyika ni kile kinachokuja akilini wakati huo. Na hii ndio inasababisha kutokuwa na kauli moja juu ya maendeleo yetu. Leo waziri wa kilimo mathalan atakuja na mkakati wa kuboresha zao la kahawa. Mara muda wake unaisha anaingia mwingine, na wakati mkakati wa kahawa haujakamilika anakuja na mkakati wa biofuel. Na hii ni katika karibu sekta zote. Tufike sehem tufuate yale yaliyoandikwa katika maandishi neno kwa neno
 
msiwe mnawapa watu credit kwa slogans ambazo sio za kwao, huo ni msemo maarufu ambao haujatungwa na January

Take the content and leave the shell. He is just a vessel who carried this message. So discuss the content not the person
 
Sure, the guy should be on the list of verified. Mawazo yake yanahitajika kwa uwazi hapa

mawazo yake kuandika one liner kama hizi? mawazo gani hayo? mbona watz mnadanganyika na vitu vidogo nyie ahh! amefanya nini huyu mh katika kusukuma chama chake kirudi kwenye mstari sawa wa kutuletea maendeleo? sana sana amekua kimya kwenye suala zima la ufisadi ambao ni tatizo kubwa kiuongozi na kimaendeleo nchini.
 
mawazo yake kuandika one liner kama hizi? mawazo gani hayo? mbona watz mnadanganyika na vitu vidogo nyie ahh! amefanya nini huyu mh katika kusukuma chama chake kirudi kwenye mstari sawa wa kutuletea maendeleo? sana sana amekua kimya kwenye suala zima la ufisadi ambao ni tatizo kubwa kiuongozi na kimaendeleo nchini.

A paragraph may speak louder than a hundred page book. Hilo lisikutishe
 
Take the content and leave the shell. He is just a vessel who carried this message. So discuss the content not the person
nitawezaje kujadili kilichomo kwenye ujumbe wakati nyinyi wenyewe mmemweka aliyeleta ujumbe kwenye pedestal?

Mada inaitwa "Hii toka kwa January on Twitter," well, hatudanganyiki, huo msemo sio wa January Makamba, ubakizeni huko huko twitter, sijui facebook ndio mtadanganyana huko, sio JF.

Watanzania tumeamka sasa hivi, ule wakati wa Nyerere kutafsiri misemo ya Winston Churchill ya WWI kumchimbia mikwara Iddi Amini, imepitwa na wakati.

 
nitawezaje kujadili kilichomo kwenye ujumbe wakati nyinyi wenyewe mmemweka aliyeleta ujumbe kwenye pedestal?

Mada inaitwa "Hii toka kwa January on Twitter," well, hatudanganyiki, huo msemo sio wa January Makamba, ubakizeni huko huko twitter, sijui facebook ndio mtadanganyana huko, sio JF.

Watanzania tumeamka sasa hivi, ule wakati wa Nyerere kutafsiri misemo ya Winston Churchill ya WWI kumchimbia mikwara Iddi Amini, imepitwa na wakati.


unaenda mbali sana. Yawezekana nimeipenda kwa mtazamo tofauti. Hujasoma post zangu vizuri. Tatizo umesoma hiyo nukuu ya makamba na wewe ukatoa hitimisho lako. Hatufanyi hivyo
 
Sioni sababu ya kutuletea vitu vya wanasiasa wetu au bloggers walivyoviandika kwenye kurasa zao huko hapa JF sababu kama wangekuwa wanataka tushirikiane nao wangetuletea huku moja kwa moja sababu kwa hali ya sasa JF ni kubwa kuliko mitandao mingi tu ya kijamii hapa home, hvyo kwenda kuchokonoa mambo ya mtu kwenye tweeter yake na kutaka tuijadili hapa ni sawa na umbea kwamba tunajadili kitu ambacho mwenyewe hakukilenga kwaajili yetu, ndio maana huwa sipendi hii tabia ya kuanzisha thread kwa kurupua hoja toka kwenye kurasa za fb ya mtu au twitter ya wanasiasa wa bongo au blogger wengine wabongo, sababu wao wanaifahamu JF na hvyo wanapoonyesha kuikwepa ni vizuri tuheshimu maamuzi yao kwa kutokulazimisha kuleta hapa inakuwa haina tofauti na umbea mwingine tu!

Mjadala ulioleta RF ungekuwa mtamu zaidi kama we ungeipanga hiyo quote na kuweka hoja zako kuliko tu kutuambia umeitoa kwenye ukurasa wa JM
 
Sioni sababu ya kutuletea vitu vya wanasiasa wetu au bloggers walivyoviandika kwenye kurasa zao huko hapa JF sababu kama wangekuwa wanataka tushirikiane nao wangetuletea huku moja kwa moja sababu kwa hali ya sasa JF ni kubwa kuliko mitandao mingi tu ya kijamii hapa home, hvyo kwenda kuchokonoa mambo ya mtu kwenye tweeter yake na kutaka tuijadili hapa ni sawa na umbea kwamba tunajadili kitu ambacho mwenyewe hakukilenga kwaajili yetu, ndio maana huwa sipendi hii tabia ya kuanzisha thread kwa kurupua hoja toka kwenye kurasa za fb ya mtu au twitter ya wanasiasa wa bongo au blogger wengine wabongo, sababu wao wanaifahamu JF na hvyo wanapoonyesha kuikwepa ni vizuri tuheshimu maamuzi yao kwa kutokulazimisha kuleta hapa inakuwa haina tofauti na umbea mwingine tu!

Mjadala ulioleta RF ungekuwa mtamu zaidi kama we ungeipanga hiyo quote na kuweka hoja zako kuliko tu kutuambia umeitoa kwenye ukurasa wa JM

simply nili aknowledge source
 
Naamini umenisoma lakini.

Basi nitakuwa naleta nukuu za Dk Slaa na Nyerere. Kuwa na phobia na mtu isiwe kigezo cha kuchukia pia kile anachoamini. Kimsingi tusihame kwenye mada husika. Unaichukuliaje hii nukuu?
 
Huyu jamaa ni mnafiki tu kwa nin hakumshauri baba ake.Nilimkuta Triple A club anatoa buku kumi kwa watu eti wa kapige kura kesho yake jimbo la arumeru,yaan reasoning ni zero hamn lipya hapo
 
JMakamba We may run, swim, walk, stumble, drive, or fly, but let us never lose sight of the reason
for the journey, "A BETTER COUNTRY". 36 minutes ago

Hapa anawarushia Ikulu madongo kama kawaida yake. Angefanya vizuri angeipeleka kwa Publicist wao. Mange Kimambi akaichapisha
 
Hivi huyo January mpaka sasa hivi amefanya lipi la maana! Anyway, tatizo nimisha chukia gamba lolote liwe changa ama limekomaa nalichukia tu!!!!
 
The problem of simple mind is prevalent and rampant. Tunaposhindwa kudaka mada husika tunakimbilia kwenye mashambulizi ya haiba. Nilidhani tungejadili A better country inapatikanaje amidst the whole political turmoil. Hii nukuu yake ina uhalali gani katika mazingira aliyopo yeye? Chama tawala kinafikiria a better country kama vile wapinzani tunavyoamini wanafikiria? Haya ndio mambo ya kujadili
 
...Balozi wa china majuzi hapa alisema kuwa nchi yao miaka ya 60 walikuwa kama Tanzania. Kauli hiyo ikarudiwa na (nadhani) balozi wa korea majuzi, kuwa nchi yao miaka ya 60 ilikuwa choka mbaya zaidi ya Tanzania....

Wenzetu walikuwa na Chama makini, sisi Chama tawala ni genge la walanguzi wasiokuwa na vision ya Taifa! CCM ni JANGA!
 
QUOTE=Raia Fulani;3691411]Basi nitakuwa naleta nukuu za Dk Slaa na Nyerere. Kuwa na phobia na mtu isiwe kigezo cha kuchukia pia kile anachoamini. Kimsingi tusihame kwenye mada husika. Unaichukuliaje hii nukuu?[/QUOTE]

Hujanitendea haki RF kwa jibu lako, sababu point yangu umeielewe vizuri sana......
Ok sikuwa na lengo la kuharibu uzi wako, kila la kheri kwenye mjadala huu!
 
Back
Top Bottom