ukweli mtupuJamani wapendwa wa MMU.. mnisamehe kwa lolote litakalotokea leo.. Mie ni muwazi sana.. nimeingia humu leo nimelewa.. so naomba sana ..muivumilie michango yangu.. Mambo ya sikukukuu... si mwajua wapendwa.. Siku 30 si mchezo.. Lurv you
Kama umeweza kufungua jf, ukatype username, password hujasahau basi wewe una akili zako usitufanyie fujo.
nafikiri na wewe ni mwenzangu... hiyo red wamaanisha nin?
<br />kanywe soup kwanya yaweza saidia
this is what alcoholics call "a moment of clarity"Jamani wapendwa wa MMU.. mnisamehe kwa lolote litakalotokea leo.. Mie ni muwazi sana.. nimeingia humu leo nimelewa.. so naomba sana ..muivumilie michango yangu.. Mambo ya sikukukuu... si mwajua wapendwa.. Siku 30 si mchezo.. Lurv you
duhu!!konyagi mwitu na msuba... hapana.. jiue mwenyewe
valuuu ya ngapi mkuu au ndio zimepanda?ndugu nilianza na SAFARI..... NIKAONA ninaukame wa muda mrefu... nikaingia ktk valuuuu.. I lurv you all