Asulo JF-Expert Member Jun 25, 2012 719 251 Aug 1, 2012 #1 Wakuu kwanza samahanini maana nimeingia ndani bila kupitia hapa kwa kukabidhi kadi ya mwaliko. Baada ya hapo nawaomba mnipokee kwa mikono yote.
Wakuu kwanza samahanini maana nimeingia ndani bila kupitia hapa kwa kukabidhi kadi ya mwaliko. Baada ya hapo nawaomba mnipokee kwa mikono yote.
Katavi Platinum Member Aug 31, 2009 41,983 12,702 Aug 1, 2012 #2 Karibu sana mkuu, subiri wadau waje wakupe mwongozo.
Asulo JF-Expert Member Jun 25, 2012 719 251 Aug 2, 2012 Thread starter #3 Nashukuru sana mkuu Katavi.
Baba V JF-Expert Member Dec 29, 2010 19,482 9,517 Aug 2, 2012 #4 Karibu sana,anakuja Kennedy kusema Pita ndani!
Globu JF-Expert Member Jan 12, 2011 8,571 2,068 Aug 2, 2012 #6 Unakaribishwa Mkubwa. Soma vizuri JF RULES.