MAALIMSEIF ni mpuuzi as ameshindwa kuonesha uwajibikaji kwa waziri tena wa chama chake kuzembea mpaka meli ikazama
Seif angemlazimisha waziri ajiuzulu au angeitumia CUF kumshinikiza waziri ajiuzulu
MAALIMSEIF ni mpuuzi as ameshindwa kuonesha uwajibikaji kwa waziri tena wa chama chake kuzembea mpaka meli ikazama
Ahsante sana Julius kwa kuuweka Uwazi na Ukweli hadharani kiasi hiki, huu ndio mwazo wa ushindi wa kweli wa kidemokrasia kwani ina hadi kuifikia ina mwendo mrefu na visiki vingi. Usivunjike moyo wewe na Chama Chako endeleeni na jipangeni na mwishowe mtafika.
CHADEMA ni Chama Kilichokosa fadhila na ihsani lau kama kingalikumbuka mchango wenu wa kuanzisha vugu vugu lakuitafuta Demokrasia Nchini Tanzania hadi kufikia kukata mbuga na milima na misitu na mapori yalioharimu damu na maisha ya Watanzania leo Wangalikuheshimuni kwa kuwa ni nyie ndio MABABA wa Demokrasia hapa Nchini lakini wapiiiii.
Watizame CHADEMA walivyotokwa na haya na Ulafi uliowajaa na zaidi UCHAGA na UDINI ulivyowazonga na waonea huruma mwisho wao hauko mbali ngoma ikivuma sana mwishowe hupasuka.
Sisi tunaothamini misingi ya Demokrasia tunajuwa nyie ni Wapinzani wa Kweli na subirini nasi tushaanza kujikusanya kwa pamoja na kwa kuwa nasi tupo Tanzania Nzima tunajipanga kisawa sawa Kuwashugulikia CHADEMA NA CCM Kuanzia katika vijiji, Kata, wilaya, mikoa yote ya TANZANIA Kuhakikisha 2015 hapa TANZANIA HAPANA CHADEMA WALA CCM
THE CIVIC UNITED FRONT
(CUF – Chama Cha Wananchi)
Ofisi ya Katibu Mkuu,
S.L.P 10979
Dar Es Salaam, Tanzania.
Kumb. Yetu: CUF/AK/DSM/NKM/B/002/A2/2011/92
Kumb. Yako:………………………………………….. Tarehe; 01 Agosti 2011 2128hrs
AVIATION OPERATIONS MANAGER
P.O BOX DAR ES SALAAM,
TANZANIA.
YAH; KURUHUSU TUNUNUE MAFUTA YA NDEGE NA
KUYASAFIRISHA KWA KUTUMIA AVIATION DRUMS.
Chama Cha Cha Wananchi CUF kiko katika uchaguzi mdogo wa jimbo la Igunga.
Katika uchaguzi huu tutatumia usafiri wa Helikopta ambayo imewasili hapa Igunga jana
28/09/2011.
inakuwa barua umeandika tarehe 01/08/2011
hapo chini unasema jana????
Hizo Docmaa magumashi
Mkuu ukiongea hivyo unakosea kabisa! watu wangapi wametokea ccm na cuf na sasa wamejiunga na CDM? Ni ukweli usiyopingika Mtatiro ni kichwa chenye upeo mkubwa sana. Hivi utamfananisha Mtatiro na Shibuda? Naomba tutumie nafasi hii kumkomvisi Mtatiro ajiunge na CDM.Hapo kwenye red nataka ufahamu kuwa CDM sio jamvi la makapa. Wapo watu makini ambao sio maarufu lakini wanaumuhimu na wanahitajika na CDM ila sio Mtatiro na wala hakuna utaratibu wa kupokea kila anayetoka kwenye chama chake.
Hili ndilo la msingi analotakiwas kulijibu. hakuna aliyehoji process ya kukodi choppa. Tunachotaka kujua fedha zilitoka wapi. Sidhani kusema tu kwua chama kinapata ruzuku ya Sh100 kwa mwezi haitoshelezi kuonyesha kuwa ruzuku ndiyo imelipia chopa
Well said mkuu! Hakika hata mie binafsi napenda mtu au watu kama Mtatiro wajiunge na CDM ili tuikomboe nchi yetu kwa mara ya pili.CUF wala msipoteze muda wenu, na ninawashauri wale vijana shupavu watoke huko mara moja na kujiunga na upinzani wa kweli. Kama unadhani ni propaganda za CDM dhidi yenu basi zimewazidi nguvu kabisa. Huku bara hamtakubalika tena. Nataka nikuhakikishie Mtatiro hata ukitokea uchaguzi mdogo Lindi ama Kilwa ama Mtwara na CDM ikatia mguu mtapata chini ya hizo za Igunga. Kubalini ukweli CDM iko juu sana sasa na watanzania wankitazama kama mkombozi wa nchi hii na ndivyo kilivyo. Hakuna jitihada mtakazofanya kurejesha imani kwa wananchi, labda mvunje Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar inaweza kuwasaidia, lakini Chadema imewafunika kabisa.
Sasa mimi napendekeza kitu kimoja, tokeni humo enyi vijana shupavu wapenda ukombozi, jiungeni na CDM tuimalize CCM, kama mtakataa ushauri huu msije mkamlaumu mtu. Haya!!! ya Igunga mmeyaona kama msipojifunza sisi hatutakuwa na la kuwasaidia.
Ahsante sana Julius kwa kuuweka Uwazi na Ukweli hadharani kiasi hiki, huu ndio mwazo wa ushindi wa kweli wa kidemokrasia kwani ina hadi kuifikia ina mwendo mrefu na visiki vingi. Usivunjike moyo wewe na Chama Chako endeleeni na jipangeni na mwishowe mtafika.
CHADEMA ni Chama Kilichokosa fadhila na ihsani lau kama kingalikumbuka mchango wenu wa kuanzisha vugu vugu lakuitafuta Demokrasia Nchini Tanzania hadi kufikia kukata mbuga na milima na misitu na mapori yalioharimu damu na maisha ya Watanzania leo Wangalikuheshimuni kwa kuwa ni nyie ndio MABABA wa Demokrasia hapa Nchini lakini wapiiiii.
Watizame CHADEMA walivyotokwa na haya na Ulafi uliowajaa na zaidi UCHAGA na UDINI ulivyowazonga na waonea huruma mwisho wao hauko mbali ngoma ikivuma sana mwishowe hupasuka.
Sisi tunaothamini misingi ya Demokrasia tunajuwa nyie ni Wapinzani wa Kweli na subirini nasi tushaanza kujikusanya kwa pamoja na kwa kuwa nasi tupo Tanzania Nzima tunajipanga kisawa sawa Kuwashugulikia CHADEMA NA CCM Kuanzia katika vijiji, Kata, wilaya, mikoa yote ya TANZANIA Kuhakikisha 2015 hapa TANZANIA HAPANA CHADEMA WALA CCM
Heshima J Mtatiro.
Mkuu asante kwa kutoa ufafanuzi anayetaka kuelewa atakuwa ameshaelewa asitaka kuelewa kapenda mwenyewe.Hongera kijana chapa kazi ni wakati muafaka CUF ijiulize inapata faida gani kwa katibu wake mkuu kuwemo ndani ya serekali ya mapinduzi Zanzibar.
Ahsante sana Julius kwa kuuweka Uwazi na Ukweli hadharani kiasi hiki, huu ndio mwazo wa ushindi wa kweli wa kidemokrasia kwani ina hadi kuifikia ina mwendo mrefu na visiki vingi. Usivunjike moyo wewe na Chama Chako endeleeni na jipangeni na mwishowe mtafika.
CHADEMA ni Chama Kilichokosa fadhila na ihsani lau kama kingalikumbuka mchango wenu wa kuanzisha vugu vugu lakuitafuta Demokrasia Nchini Tanzania hadi kufikia kukata mbuga na milima na misitu na mapori yalioharimu damu na maisha ya Watanzania leo Wangalikuheshimuni kwa kuwa ni nyie ndio MABABA wa Demokrasia hapa Nchini lakini wapiiiii.
Watizame CHADEMA walivyotokwa na haya na Ulafi uliowajaa na zaidi UCHAGA na UDINI ulivyowazonga na waonea huruma mwisho wao hauko mbali ngoma ikivuma sana mwishowe hupasuka.
Sisi tunaothamini misingi ya Demokrasia tunajuwa nyie ni Wapinzani wa Kweli na subirini nasi tushaanza kujikusanya kwa pamoja na kwa kuwa nasi tupo Tanzania Nzima tunajipanga kisawa sawa Kuwashugulikia CHADEMA NA CCM Kuanzia katika vijiji, Kata, wilaya, mikoa yote ya TANZANIA Kuhakikisha 2015 hapa TANZANIA HAPANA CHADEMA WALA CCM
Yes mr Mtatiro! Kwanza pole na hekaheka za uchaguzi. Pia nilibahatika kusoma ile post yako uliyokiri kuwa mmepoteza jimbo la Igunga.
Anywayz nisikuchoshe kwa maneno marefu sana na badala yake acha niende kwenye point. Mkuu Mtatiro wewe ni mmoja kati ya wapi
ganaji wazuri sana kwenye nchi hii ambao wanataka kuikomboa Tanzania kwa mara ya pili kutoka kwa hawa wakoloni weusi! Ila tatizo lako
hiyo sehemu uliyokuwepo siyo mahala pake for sure. Amini maneno yangu CUF haitakufikisha popote,badala yake itakupotezea mda na
mvuto wako kwa watanzania. Mie ningekushahuri ni bora ukajiunga na wapambanaji wenzako ndani ya CDM. Mkuu kwa sasa watanzania
waliowengi matumaini yao wameyaweka kwa CDM....yaani wanaona atrist kidogo CDM inaonyesha uhalisia wa uongozi na utawala bora ku
pitia vikao vya bunge,kwenye media na kwenye mikutano ya hadhara tofauti na vyama vingine. Mkuu jiunge na CDM kwa faida yako na
kwa faida ya nchi yako.....na CDM watakupokea kwa mikono miwili na kwa moyo mmoja. Ninahuhakika wa 70% kama utagombea ubunge
mwaka 2015 kupitia CDM basi ni lazima uukwae ubunge....utakuwa mbunge wa kinondoni au somewhere kanda ya ziwa. Pia habari ambazo
nimezipata toka chini ya karpet kutoka kwa mtu wa jikoni ni kuwa Shyrose Bahnji yuko mbioni kujiunga na wapambanaji wa CDM ili mwaka
2015 asimame jimbo la kinondoni kupitia CDM. Ujachelewa mkuu fanya maamuzi magumu sasahivi kwa faida yako na kwa faida ya nchi yako.
Kaa chini,tafakari,kisha chukua hatua! By Najee Mshikachuma