Gamaha
JF-Expert Member
- Jul 17, 2008
- 3,815
- 4,861
Wakuu naomba msaada wenu nimeibiwa kadi original ya gari na vibaka waliovunja kioo cha gari na kuiba pamoja na vitu vingine. ni nini nahitaji kufanya police tayari nimetoa taarifa je nahitaji kwenda TRA pia. vipi kuhusu usarama wa gari.
nawasilisha
nawasilisha