Duh pole, akirudi mfunge tracking system ili asiibiwe hovyo
mwanamke kutwa kiguu na njia jf looh wasikuibie tu, mume anahitaji malezi babueee
Kanambia tigo hutoi kaamua kuhamia kwa anae toa mnato
Heheheee hapa ndo kisima cha Maufundi mama sema tu ndo vile tena loljaman asante kwa kumruhusu yan nimekonda kwa wk 2. pia nakushukuru hope utakuwa umempa maujuzi!
yaani bado unajishauri tu kuingia safinani? Ngoja mlango ufungwe. Hili basi sio la eateli ambalo halijai.
Heheheee hapa ndo kisima cha Maufundi mama sema tu ndo vile tena lol
Hahahahaaaa King'asti ile sikupi coz mi ndio mwenye nidhamu kuliko weweMambo dole!
Moango upi, ule wa kunirudishia zawadi yangu ya mwanajf mwenye nidhamu kuliko wote uliyoniibia?
Umeona eeeeh?fo sho, nahc akirudi hata ctakuwa nachoka! asante kwa kunipa moyo. . .
charminglady nimekuonaaaa, umea huoooohaa, nikuibie siri jiran. hebu sogea nkuume ckio. . . una habar M'Jr alikuja mwanza kimya kimya huenda ndo yupo nae! ila ucje kuntaja kama me ndo nimekwambia. . .
Hivi umeshajaribu kucheck na BADILI TABIA ?
Huyo ndio hasaaaa mwizi maarufu wa waume za watu coz hata mimi alishawahi kuniiba
52 yaani wewe umekua mtu kama wa 10 nakuskia ukimuongelea BT Kiivo!
Sijui namie kuna siku ataniiba ?
Ngoja nisubiriesubirie nione kama atajaribu!