Crashwise JF-Expert Member Oct 23, 2007 22,227 8,735 Mar 14, 2011 #1 Wakuu habari zenu nimeibiwa modem ya zain je kuna njia yoyote ambayo naweza kufanya ili nijue anaeitumia...mfano anatumia line gani?, yuko wapi?....
Wakuu habari zenu nimeibiwa modem ya zain je kuna njia yoyote ambayo naweza kufanya ili nijue anaeitumia...mfano anatumia line gani?, yuko wapi?....
Inkoskaz JF-Expert Member Nov 6, 2010 6,372 2,374 Mar 14, 2011 #2 Visit Airtel ukiwa na police loss report na kama uliisajili wataitrace na kujua new user
M Mr.Mak JF-Expert Member Feb 23, 2011 2,841 1,102 Mar 14, 2011 #3 very easy fata maelekezo ya kaka Inko.na ukiona umeikosa chukua ya zantel iko bomba sana garama zake ziko chini mno
very easy fata maelekezo ya kaka Inko.na ukiona umeikosa chukua ya zantel iko bomba sana garama zake ziko chini mno
M MZAWATA JF-Expert Member Feb 10, 2011 556 95 Mar 14, 2011 #4 pole sana kaka, fuata maelekezo ya mkubwa hapo juu but iwe mapema coz cku hz wanazichakachua
Crashwise JF-Expert Member Oct 23, 2007 22,227 8,735 Mar 15, 2011 Thread starter #5 asante wote mlio nishauri na mtakao ni shauri ndiyo naelekea ofisi za airtel ..
Dena Amsi R I P Aug 17, 2010 13,082 4,260 Mar 15, 2011 #6 Kama umeisajili its very eassy nenda zain aka airtel