pole sana,tembelea maduka used ya laptops in Dar,unaweza kumbana nayo, Je unafahamu MAC address yake,huwa ipo chini ya laptop.namba ndefu hivi.
if u do it can help u track it online,na ikipatikana unaweza ku prove kuwa ni yako
Ni DELL Latitude D630, imeibwa Mabibo Hostel, jana majira ya saa 1:30 usiku. Taarifa ya upotevu ipo Kituo cha Polisi wasaidizi Mabibo Hostel. Yeyote atakayepata taarifa zake tusisite kupeana taarifa... Au nipandie hewani moja kwa moja@0713049852.
Ili kupata serial number unafanyaje???
itakuwa ndiyo hiyo namba za MAC huwa ni hardware number ya network card,na kila kiwanda kinapewa namba yake ktk kutengeneza network kadi,ni kama IMEI namba ktk simu,
so kinachofuata ni kuuliza watalaam wa mitandao kama kunauwezekano wa kufanya tracking ya hiyo namba ikiingia mtandaoni
Unayo serial number (service tag number) ya hiyo laptop? hii itasaidia sana kwa yeyeote atakayepata laptop hiyo ikiuzwa kukutaarifu haraka.
Kuna mambo muhimu ya kuzingatia unapomiliki PC especially LAPTOP,kwanza Serial number ambayo unatakiwa uiregister na worldwidelink endapo inaibiwa unaweza kui-tress mahali popote ukaipata.ni technology ambayo Tanzania bado haijaingia ila malysia na nchi za caracas venezuela nimesikia hiyo techno.Pili:IP Adress au number,ni muhimu sana.Kila mwanajamiiforum anajulikana sehemu anakofanyia surfing ya internet kwa IP Adress,