strong lady
Member
- May 19, 2012
- 37
- 14
Issue niliyoiona hapo siyo kutongozwa bali mazingira ya utongizwaji. Yaani mtu unakwenda kwa dokta una shida akutongoze huwezi kujisikia vizuri. Ila kama mmekutana kitaa na mtu akapagawa hakuna shobo hapo.
Hapo umenena mzee wa Rula Yaani mpaka nikufuate ndio unitongoze hata kama umenipenda kweli tafuta muda wako tena nje ya masaa ya kazi na tena uwe umeshatatua tatizo langu la kikazi ili nisijue kama unahitaji rushwa ya ngono