gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
- Thread starter
- #21
Ukitaka nikuhudumie lazima uje na mwenzako la sivyo no huduma! Kwangu haingii mtu mmoja mmoja! hatuzungumzi siri kwenye ofisi! Tukutane huko baa ma kwenye grocery tukatongozane humo siyo ofisini kwanguuuuuuuuuuuuuuuuuu! Ukija mwenyewe tokaaaaaaaaaaaaaa kaje na mwenzako! Fuuuuuuuuuuul stop
ni sawa kabisa lakini pia matatizo yanatofautiana wewe unaya handle vipi pamoja.