Nimeharibiwa week-end yangu.... lol!

Ukitaka nikuhudumie lazima uje na mwenzako la sivyo no huduma! Kwangu haingii mtu mmoja mmoja! hatuzungumzi siri kwenye ofisi! Tukutane huko baa ma kwenye grocery tukatongozane humo siyo ofisini kwanguuuuuuuuuuuuuuuuuu! Ukija mwenyewe tokaaaaaaaaaaaaaa kaje na mwenzako! Fuuuuuuuuuuul stop

ni sawa kabisa lakini pia matatizo yanatofautiana wewe unaya handle vipi pamoja.
 
gfsonwin nimekupenda sana mpenzi wangu....!inakwaje aisee....,??!

vip una nafasi weekend hii???!..yah!...i wanna take you out for nyama choma and sm few bottles....!please baby say yes!..

therafter we can hang out for some more fun!...clubbing and all that!....

can you do it for me swthrt???
 
Sasa hii ndio yamekukuta?..... JF bana!

Mwenzio juzi kabakwa bila kondom bahati nzuri yeye ndio alikuwa na HIV, wabakaji karibuni wataanza kuishi kwa matumaini. kulaleki!

@klorokwin usiseme hivyo, mimi hapa nalilia haki yangu ya kuongezewa salary yeye ndiye anayepitisha hizo barua hivi unafikir inakuwaje? je sinitaekwa kwenye areazi hadi nikome?
 
Issue niliyoiona hapo siyo kutongozwa bali mazingira ya utongizwaji. Yaani mtu unakwenda kwa dokta una shida akutongoze huwezi kujisikia vizuri. Ila kama mmekutana kitaa na mtu akapagawa hakuna shobo hapo.
 
gfsonwin nimekupenda sana mpenzi wangu....!inakwaje aisee....,??!

vip una nafasi weekend hii???!..yah!...i wanna take you out for nyama choma and sm few bottles....!please baby say yes!..

therafter we can hang out for some more fun!...clubbing and all that!....

can you do it for me swthrt???

Sasa Teamo na wewe unataka kunichekesha manake mimi kutoka na watu hovyo sipendelei hata kidogo mwenzio nalea kichanga n aistoshe wa kumoyo nampenda MUNGU ile mbaya. Lol hakuna wakucompete na G'y
 
Last edited by a moderator:
@klorokwin usiseme hivyo, mimi hapa nalilia haki yangu ya kuongezewa salary yeye ndiye anayepitisha hizo barua hivi unafikir inakuwaje? je sinitaekwa kwenye areazi hadi nikome?

hehehe ukihitaji lawyer nipo, mimi hautonichukia, sina kitambi kabsaa, mzembe naenda gym kabla brekfast.
 
Hongera kama Kuna anayeweza kukutamkia KIJINENO.. mwenzangu ungekuwa kikatuni nani angekuwekea glasi macho? basi Mshukuru Mola kwa kuwa Bado jua linakung'arikia na kuna wanaoweza kujigongagonga kwa kukurushia vijineno.. Imagine angekwambia Mbona mdomo unanuka, au mbona umezeeka hivyo mwalimu gani wewe, au angekwambia hiyo nguo ni yako au umeamwazima mama ungejisikiaje.
cha Muhimu ni Kujua shetwani wa aina hiyo wapo wengi, ma afisa elimu na waratibu wa elimu ndio usiseme, ukitaka uhamisho hapo kupona ni Mola asaidie tu, cha Muhimu ni Kuwakwepa, wajibu vizuri, pata chako, achana nao.

Embu ona Huyu, Tumbo lote Hili bado anafakamia mapaja ya watu, mie sometimes sijui kama baadhi ya raia wana Mishipa ya aibu..

imagesCAWXEWQC.jpg

Ona mwenzake Huyu sijui sasa Mikono hii anaichomeka kuipeleka wapi ee ...Mola tusaidie viumbe wako huku.. ukiuliza ni kiongozi wa watu.. ukizidi kuuliza ni Baba wa Familia ana Mke/wake na watoto..Tena this TIME unaambiwa alikuwa Waziri wa Elimu ya watoto wetu, sembuse wewe mwalimu sijui huyo nanihii ambaye hata Mwakaleli, Viumbo, Soikwe, Vekweli hawamfaham.. !!

untitled.png2.png

Hawa Hawaharibu week-end ya mtu bali doa la kashfa na fedheha maishani..
 
lakin dada....!

hivi kila ukitongozwa utakuja kuweka updates hap????!......

au niseme we ndo mwanamke pekee unaetongozwa dunia nzima???!...

sina maana hiyo ila fikiria mtu anayetakiwa kukuidhinishia barua zako upandishiwe salary ndo anakufanyia hivyo kweli hakutengenezei mazingira ya kuekwa kwenye pending list ya areazi? ni majaribu makubwa sana kweli nimekwazika zaid na hivi kasema mpaka jumanne. yaani basi tu
 
umetokea kijiji gani?. wenzako wanalegeza jicho na sauti kwenye nafasi kama hizo. fomu unasaidiwa kusign na nauli unapewa. vile vile na pesa za kuanzia maisha unapewa.
kila ikija kukuchoma unampiga kalenda hadi anasizi mwenyewe. mbona wanaume ni rahisi kudanganya?.
kwani mtu akikutongoza lazima umpe au lazima unune kana kwamba hutongozwi? kama ndivyo mlaumu Mungu aliyekupa uzuri. mi mwenyewe nikikuta unalipa nakutongoza aisee.
 
Huna haja ya kufura. Huyo jitumbo unafikiri hana haki ya kupenda au kutamani. Au kuwa kiongozi hakumpi mtu kupenda?
Kama tatizo kuwa umetongozwa na jitumbo basi pengine vijana watanashati si kadiri yako.
 
Issue niliyoiona hapo siyo kutongozwa bali mazingira ya utongizwaji. Yaani mtu unakwenda kwa dokta una shida akutongoze huwezi kujisikia vizuri. Ila kama mmekutana kitaa na mtu akapagawa hakuna shobo hapo.
Mzee wa Rula pia na cheo chake kinanitishia manake anahitajika anipitishie barua ya kuongezewa salary mwenzenu naumia kwa mengi
 
Last edited by a moderator:
Kiukweli nachukia sana hii tabia ya kuwadhalilisha akina mama!..hasa inapotokea anahitaji msaada.
Nasema hili kutoka moyoni kwa sababu kuna shemeji yangu ni mwalimu mpya yaani kaanza kazi mwaka jana kwenye sekondari moja pale Moro vijijini. Cha kushangaza..headmaster wake alimtongoza na binti huyu ili kutunza heshima yake na ya mumewe aliamua kukataa hayo mahusiano
Kilichofuatia huyu mwalimu mkuu wake hakupeleka baadhi ya documents za huyu binti kwa DED na akapeleka taarifa kwamba huyu binti aliripoti kazini kisha akatoweka. Kwa karibu miezi mi3 huyu binti hakupata mshahara ilhali wenzie wanapata. Alipofuatilia ndio akakuta utumbo huu kwamba hajawahi kuripoti kazini na documents zake hazionekani na aliyeyaleta ni headmaster wake..kisa kanyimwa ngono...Very shame to our society!
 
ni sawa kabisa lakini pia matatizo yanatofautiana wewe unaya handle vipi pamoja.
Unakuja unakaa unaeleza shida yako nakusikiliza kabla sijakujibu namuuliza na mwenzako shida yake then nakupeni majibu mnatoka. Huwa siruhusu kabisa kuwa na kiumbe cha kike ofisini kwangu peke yangu. Ikibidi secretary wangu lazima awepo.
I know some of ladies huwa wanatumia miili yao as silaha ya kupata huduma wanayoihitaji.
 
umetokea kijiji gani?. wenzako wanalegeza jicho na sauti kwenye nafasi kama hizo. fomu unasaidiwa kusign na nauli unapewa. vile vile na pesa za kuanzia maisha unapewa.
kila ikija kukuchoma unampiga kalenda hadi anasizi mwenyewe. mbona wanaume ni rahisi kudanganya?.
kwani mtu akikutongoza lazima umpe au lazima unune kana kwamba hutongozwi? kama ndivyo mlaumu Mungu aliyekupa uzuri. mi mwenyewe nikikuta unalipa nakutongoza aisee.

Mkuu kunawengine vizizi bwana huwa hawakataliwi!
 
Huna haja ya kufura. Huyo jitumbo unafikiri hana haki ya kupenda au kutamani. Au kuwa kiongozi hakumpi mtu kupenda?
Kama tatizo kuwa umetongozwa na jitumbo basi pengine vijana watanashati si kadiri yako.
Ngekewa nimemchukia kwa kua najua mwishowe ni kutumia cheo chake kinaniumiza. asipo sain barua zangu nabaki na cheo kikubwa mshahara wa cheo cha chini
 
Last edited by a moderator:
Unakuja unakaa unaeleza shida yako nakusikiliza kabla sijakujibu namuuliza na mwenzako shida yake then nakupeni majibu mnatoka. Huwa siruhusu kabisa kuwa na kiumbe cha kike ofisini kwangu peke yangu. Ikibidi secretary wangu lazima awepo.
I know some of ladies huwa wanatumia miili yao as silaha ya kupata huduma wanayoihitaji.[/QUOTE

unachosema pia nakubaliana nacho , lakini hebu jiulize mbaba kama huyu kwa swala nyeti la kiofisi kwanini aweke na mtongozo? tena mwl wa watu huwa niko simple sana sijazoea kuyaona haya anyway labda kwakua siingii ofisi nyingi za watu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom