ratio ya watu ambao hawaja-make it in life ikoje?
Wale wa single mom na both parent?
Siku ingine jipange kabla hujapost mzee!
For me nimesema kitambo kuwa USANII NI FANI,na ni positive in terms of life,AND NILISEMA KUWA USANII HAUNA RELATION NA U SINGLE MUMmsanii anayeingiza kipato halali kaharibikiwa??
Drgba? Messi? Kaka? Desel? Jay Z?
Mambo ya kisanii ni mambo yaliyopinda? Unataka kusema ni mambo ya ovyo, au? Siamini kama sanaa ni mambo ya ovyo kiasi cha kuona kwamba wanaoifuata ni watu waliopotoka au wamepinda njia. Chukua sanaa katika uchanya wake kwani inaonya, inafundisha, inaburudisha, nk. Hayo yote ni mema.Yawezekana ni kweli. katika mfumo ambao family ime-collapse na mama akawa mhimili, watoto huanza kukosa enforcement (toka kwa baba) na mwelekeo wao huwa ni katika mambo yaliyopinda, mambo ya kisanii na mwishowe huwa wasanii. mifano iko tele. wamarekani weusi walioko kwenye sanaa wengi wao hawana baba wa kueleweka.
Kina mama kwa hulka yao ni watu wenye sentiments nyingi. Kwa sababu hiyo, nadhani sitakosea nikisema kwamba kina mama kwa hulka yao ni artists. Angalia walivo na uwezo wa juu sana katika kupamba, kuweka order ndani ya nyumba, kuongea, kubuni vitu (creativity), nk. Watoto waliolelewa na mama tu ni watoto wanaochukua mengi kutoka kwa mama ikiwa ni pamoja na hizo sentiments za ndani ya mtima, yaani uwezo wa kuona, kueleza kisanaa jambo au mambo.
Kulelewa na mama tu hakumfanyi mtu kuwa mvuta bangi au malaya. Hizo ni tabia za mtu ambazo anaweza kujifunza si lazima awe nyumbani kwa mama bali hata shuleni, na makundi ya vijana. Kuna vijana wengi ninawafahamuu wenye kukaa na wazazi wao wote lakini ni wa wavuta bangi, watumia madawa ya kulevya, nk. Tafadhali tusiwe na prejudice na hawa vijana. Kwa mawazo yangu, na ninasisitiza, wanakuwa wasanii kwa sababu they want to be like their mothers who are naturally artists. Na unakuta baadhi yao wana elimu nzuri tu.Thanks kwa mchango wako.
Kweli wasanii wengi wana make it in life.
Ila kuna wengi wanao potelea njiani kuelekea kwenye usanii...wengine wanaishia kugawa uroda, wengine wanaishia kuwa wavuta bangi...lakini focus yao ilikuwa wawe wasanii.
Usanii ni fani lakini ni fani ngumu sana kwa kuwa chance ya kutoka ni ndogo ukilinganisha na kufuata mfumo mwingine wa maisha ndio maana labda wababa wengi hawataki kusikia mtoto analeta stori za 'nataka kuwa msanii.'
Kulelewa na mama tu hakumfanyi mtu kuwa mvuta bangi au malaya. Hizo ni tabia za mtu ambazo anaweza kujifunza si lazima awe nyumbani kwa mama bali hata shuleni, na makundi ya vijana. Kuna vijana wengi ninawafahamuu wenye kukaa na wazazi wao wote lakini ni wa wavuta bangi, watumia madawa ya kulevya, nk. Tafadhali tusiwe na prejudice na hawa vijana. Kwa mawazo yangu, na ninasisitiza, wanakuwa wasanii kwa sababu they want to be like their mothers who are naturally artists. Na unakuta baadhi yao wana elimu nzuri tu.
Kwa kumsaidia mleta mada (kwa sababu naamini conclusion yake) labda ungepitia study hii Statistics « The Fatherless Generation.Kwa kuongezea tu atueleze wengi wa ngapi? Ukilinganisha na walolelewa na wazazi wote wawili kuna tofauti ya "wengi" kiasi gani
Ooooh yeah, hii ni soga si utafiti kwa hiyo wengi jazia wewe idadi unayotaka :]
Kupotelea njiani hakutokani na wao kuwa watoto wa mama tu, bali ni vishawishi vya kawaida vinavyowakumba vijana wawe na mama tu au wa mama na baba. Wote hao wanaweza kujikuta hawafikii malengo yao kwa sababu ya ujana.Wale wanaokuwa kwenye mchakato wa kuwa wasanii afu wakapotelea njiani...wanakuwa kina nani?
Wale wanaopanga foleni kwa Madam Ritha na hawakuchaguliwa wanaenda fanya kazi gani?
Ndio maana kama umenisoma nimesema ni risk route to take na wazazi wengi kama ni their wish wangependa watoto wao waende shule si kutegemea kutoka kupitia usanii.
Mfano mzuri ni wasanii wa Nigeria na Ghana majority ni graduates. Na ukiwauliza wanasema ni wazazi wao waliowaambia elimu ni security wasome kwanza usanii baadae...ili wasipotoka wawe na option.
Ulishawahi wauliza hao wavuta bangi wanataka kuwa nani maishani? Nina uhakika watakwambia tunataka kuwa kama Bob. marley...wasanii.
Kwa kumsaidia mleta mada (kwa sababu naamini conclusion yake) labda ungepitia study hii Statistics « The Fatherless Generation.
Sports na music bado sijaona sababu ya kurelate na fatherlessness ila kuna article hii inayoonyesha watoto waliolelewa na single mothers wana uwezekano mkubwa wa kuwa successful kwenye "self-paced" activities kama sports, arts na music. more than academics (which is more instructional)
Comparison of Black and White Boys' Performance in Self-paced and Reactive Sports Activities - Dunn - 2006 - Journal of Applied Social Psychology - Wiley Online Library
Kupotelea njiani hakutokani na wao kuwa watoto wa mama tu, bali ni vishawishi vya kawaida vinavyowakumba vijana wawe na mama tu au wa mama na baba. Wote hao wanaweza kujikuta hawafikii malengo yao kwa sababu ya ujana.
Bluu: Ni wazi lazima tukubali pia kwamba wale wanaolelewa na mama mmoja wanaweza pengine wakawa na shida ya kiuchumi zaidi kuliko wale wanaolelewa na wazazi wawili. Wanakosa sapoti ya kiuchumi kuweza kuendelea na masomo ya juu na kulazimika kukatiza masomo. Kwenda kwenye sanaa inakuwa kama alternative. Ninachokataa mimi ni kuona kwenda sanaa ni matokeo ya kukosa malezi bora, au kuwa na uhuru wa kupindukia wa vijana kwa vile tu wako na mama pekee.
Ni kweli sanaa ina uhusiano na uhuru. Kama nilivyosema kwenye posts zangu za juu ni kwamba wengi wa hao vijana wanachukua mengi kwa mama zao ikiwa ni pamoja na mwelekeo wa sanaa. Hawa wanakuwa wamechagua sana kwa uhuru wao; huo ndo mwelekeo wao kutoka ndani ya moyo wao.Sanaa ina uhusiano na uhuru. Mimi nakumbuka baba yangu alimpiga marufuku kaka yangu kucheza mpira kwa ku relate na perfomance yake mbaya darasani. Kama angekuwa huru sasa hivi labda angekuwa Chelsea Lol.
Mama yangu nilikuwa namuogopa sana. Halafu nikimuona yuko sad nilikuwa namind sana. Kwa hiyo hapo bado sijakubaliana na wewe.Unajua woga pia unachangia watoto kufuata wazazi wanachotaka wafanye. Mfano utasikia nikifeli baba ataniua...Ushasikia mtu anasema nikifeli mama ataniua...mimi sijawahi.
Mama yangu nilikuwa namuogopa sana. Halafu nikimuona yuko sad nilikuwa namind sana. Kwa hiyo hapo bado sijakubaliana na wewe.
Nakumbuka mama yetu tulimpa jina la MREMA,refer Mrema alivyokuwa waziri wa mambo ya ndani,tulisema sana tu kuwa tukishindwa kitu tutakoma kwa mama.Unajua woga pia unachangia watoto kufuata wazazi wanachotaka wafanye. Mfano utasikia nikifeli baba ataniua...Ushasikia mtu anasema nikifeli mama ataniua...mimi sijawahi.