nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,369
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio ni single mother kwani hakuna mtu aliyezaliwa na mama wawili.
mmmmhh, sijaelewa.
Ntarudi
Quadruple
hakuna anaechagua wazazi wake,hivyo basi hakuna anaejua kuwa atakuja lelewa na single parent especially mama peke yake,having said that, hakuna uhusiano wowote wa kulelewa na single parent na kuwa msanii.
hakuna anaechagua wazazi wake,hivyo basi hakuna anaejua kuwa atakuja lelewa na single parent especially mama peke yake,having said that, hakuna uhusiano wowote wa kulelewa na single parent na kuwa msanii.
Akina Diamond, Q Chief, marehemu Kanumba and company wamelelewa na mama pekee. Na hata wakiongelea mafanikio yao wana wapa credit mama zao..... Je kuna uhusiano wa kulelewa na mama na kuwa msanii?
Ndio ni single mother kwani hakuna mtu aliyezaliwa na mama wawili.
If that's what you mean then you gotta revisit your heading and probably change it
Maelezo ulotoa kabla ya jibu (sijuhi hakuna kuchagua bla bla bla) yamefanya nione jibu lako ni subjective.
Wewe umechukulia kuwa usanii ni failure in life..lakini mimi siko huko kwani kuna wasanii ni mamilionea.
Angalia usanii katika positive side afu jaribu kujibu tena.
Ndio ni single mother kwani hakuna mtu aliyezaliwa na mama wawili.
hakuna uhusiano wa kulelewa na mama pekee na kuwa msanii, Period
Heading bado naona imetulia.