Ndio maana nashindwa kuacha kondomu jamani. Nimezizoea hadi basi. Najiuliza nikioa itakuwaje, maana nahisi hata huyo mke sitamwamini, nitaendelea na mwendo wa kondomu kama kawa.
Mi hata mtu nikifuatana naye kwenda kupima ngoma na majibu yakawa negative, bado nina hofu tu, simwamini kwa sababu najua hata hao walioko positive leo kuna kipindi huko kabla walikuwa negative.
Mi hata mtu nikifuatana naye kwenda kupima ngoma na majibu yakawa negative, bado nina hofu tu, simwamini kwa sababu najua hata hao walioko positive leo kuna kipindi huko kabla walikuwa negative.