Bluray
JF-Expert Member
- Mar 25, 2008
- 3,449
- 127
Jamani yamenikuta..
Nimegundua wife anamegwa na jamaa kama wawili hivi na amekuwa akiwacontact mara kwa mara kwa muda sasa, baada ya kufanya uspie na kugundua hayo nimemgomea kula tundi na kupunguza maongezi nae siku moja aliniuliza nikamweleza nimejua ana jamaa hao na nikamtajia majina na kumshauri aendelee nao tu maana inaonekana kanichoka
Je niendelee na msimamo wangu?? nishaurini vyema
Wewe unacheza tu, hujagoma wala nini.
Hapo hamna cha kugoma wala nini, either unamtaliki au mnakaa muongee muendelee, habari za kugoma ni habari za girlfriend boyfriend wa high school.no wonder mwanamama anatafuta vitu nje.Mwanamme unamletea ubishoo.
Amua moja, unataka kumuacha au unataka kuendelea naye.Si unakuja hapa kutafuta sympathy watu wakubembeleze uache "mgomo".