CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
Ndg zangu wana jf.
Mwenzenu nimefumaniwa na"pasaka"
Yaani pasaka imenikuta nikiwa hovyo,sijui hata namna ya kutoka leo,mifuko yote imetoboka wakuu,tafadhari msaada.
Situmii bia,mimi yangu soda na nusu kuku!
Mwenzenu nimefumaniwa na"pasaka"
Yaani pasaka imenikuta nikiwa hovyo,sijui hata namna ya kutoka leo,mifuko yote imetoboka wakuu,tafadhari msaada.
Situmii bia,mimi yangu soda na nusu kuku!