Nimefiwa na mtoto jana muhimbili!

Pole sana kwa kufiwa na mtoto wako bwana spika. Mungu akufariji na akupe nguvu.
 
kwa atakaye kua tayari kufika apige namba hii:0713 373132/0787 474142.
 
Pole sana,wewe na family yako,ningekuwa Dar ningekuja msiban,pole mno,Mungu akufariji.amen..n
 
Pole sana Mkuu. Mungu akujalie nguvu ya kukabiliana na hali hii ngumu. naamini hapa sote tu pamoja nawe katika sala na maombi
 
Pole sana mkuu, Mungu akupe nguvu na uvumilifu ktk kipindi hiki kigumu. Hakika sote ni wa Mungu na sote tutarejea kwake
 
Pole sana. Mungu na akawe mfariji wenu ktk kipindi hiki kigumu cha msiba.
 
Ni majaribu ambayo Muumba anatupitisha waja wake. Pole sana Spika. naamini Mungu atakujalia nguvu za kukabiliana na majonzi haya makubwa nasi tutaendelea kukuombea
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom