- Thread starter
- #81
Nilikwambia zamani kuwa tutakuwa tunafahamiana baada ya kusoma watu wengi unaowaongelea.Dunia ni ndogo sana, nilikuwepo mazikoni jana, nilikuja kwa kutokea upande wa Mariam Zialor, uporoto kumbe ni mtu wangu wa Karibu sana. Tuko pamoja.