dickson longo
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 230
- 49
pole sana.Duniani tunapita tu.
pole sana kwa kumpoteeza bamkwe, RIP!Habari wana JF? Nimefiwa na Babamkwe wangu Mwalimu Juma Ally Nzumbe kwa wale watu wa Nzega wanaomfahamu. Msiba upo Pugu Kajiungeni kichangani kona ya kisarawe kwa wale wanaomfahamu na wangependa kuja piga 0714507507 au 0786507507. Maziko ni kesho saa saba mchana makaburi ya Kisutu