Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
wewe hukuandika mistari ya bongo fleva?khaaa!
Toka lini mwanafunzi akaitwa chumbani?
wewe hukuandika mistari ya bongo fleva?khaaa!
Toka lini mwanafunzi akaitwa chumbani?
pole sana, hiyo topic ya reproduction utaisoma b'dae. Sahv muda wa kupiga umbea. Halafu kuna kitu gani kinaendelea we na kadakib? Mi nasoma btn lines ujue!
Afadhali umenisaidia kufafanua manake husni ni mnoko sana, angeenda kusema kwa mama...
Mie ndo niko form four afu ni kichwa balaa!wewe hukuandika mistari ya bongo fleva?
vipi kuhusu firstlady wakusoma, senator, figganigga na tusker baridiii? je wamefaulu?
hivyo eeh! Jamani mwanafunzi nalearn hapa. Sio mnipollute akili. Lol.
Khaaa kongosho mswalie mtume jamani...anapenda experiment ya hii topik.
Kama yuko anafanya hiyo, hawezi piga umbea hadi amalize
poa, nitamwambia mods wanipe ban ya miaka miwili hadi nimalize six.
Ana wani ya seven...amejitahidi mpe hongera bana!Unataka hongera humu husemi umefaulu kivipi? Au hutaki kushauriwa mambo ya kusomea mbeleni? Weka grades basi tukufurahie zaidi.
Khaaa kongosho mswalie mtume jamani...
bado sijaridhika, naendelea kuwachabo kwa macho manne
Mie penda wewe sana, kumbe urafiki wetu hauishii shuleni eeh?Hata kama akienda kusema nisitue tu nije nikutetea
We chabo tu ila mda mwingi utatukuta tunafanya diskasheni ya masomo yetu haswa biology!bado sijaridhika, naendelea kuwachabo kwa macho manne