Uyo dada mwenzangu ananipa shaka kuna wezekano bado ana wasiwasi na wewe hivyo hajakabizi moyo wake kwako.
lkn kuhusu simu ukimpigia kunyamaza kimya hata mpenzi wangu yupo ivyo sijui inakuaje na yeye anasema hana stori hivyo naongea mimi tu msichana ingawa kapiga yeye.
Kuna wanaoumizwa,wakipata wenza wengine wanasahau machungu
Kuna wanaoumizwa wakipata mwingine wanamalizia machungu yao hapo(Yaani anaweza akakutenda vibaya sana )kama atachukulia wanaume wote ndivyo walivyo,atalipiza kwako kisasi kutokana na aliyotendwa na mwanaume mwenzio.
Au moyo wake umeshakuwa na ganzi,na anashindwa kupenda na kuamini tena,ila wewe ndie unayempenda,lazima UTAUMIA labda apate counselling.
Pole sana bro jaribu kuwasiliana naye kumweleza hisia zako kwake na umuulize anampango gani nawe then kama haeleweki chapa laba utulie umwombe mungu atakupa mwingine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.