Nimefanya mapenzi na Mwanamke wa JF!

Status
Not open for further replies.
Sabalkheri wana JF wenzangu. Natumaini wote mlikuwa na wikiendi njema kabisa na mmeamka Jumatatu hii wenye nishati nyingi za kutosha kuweza kuendeleza libeneke la kusukuma gurudumu la maendeleo la hii nchi yetu pendwa.

Baada ya takribani miaka minne na nusu hatimaye Jumamosi hii iliyopita nilishawishiwa kutoka na kwenda kiwanja kujirusha. Kwa zaidi ya miaka mitano mimi na kujirusha hatujawa beneti kihivyo. Lakini wikiendi hii nimevunja huo mwiko.

Basi bana sisteri mmoja wa hapa JF akanipigia simu ile Jumamosi jioni akinitaka tukutane New Maisha club (sijui ndio inavyoitwa hivyo...wenye kujua saidieni). Nikasita kidogo kwani kama nilivyosema mimi kujirusha sio zangu kabisa. Lakini kwa ajili yake nikakubali.

Nikajipiga sopusopu na baada ya hapo nikaingia kwenye mchuma huyo nikaenda kumpitia. Nikamkuta naye kajikwatua kwelikweli...naona hakutaka mchezo siku hiyo. Akaingia kwenye mkebe nami nikapiga moto chini. Nadhani allipenda cologne niliyokuwa nimepakaa maana usiku mzima hakuacha kunipa compliments....'mmm jamani Ngabu unanukia vizuri...umepakaa nini?'....'Aaah nimepakaa Cartier Roadster Sport exclusive kutoka Nieman Marcus'....akasema kwa mshangao 'wee Ngabu sikuwezi...yaani hata cologne unanunulia Nieman Marcus!!'

Kuifupisha hadithi ndefu, tukaingia zetu hapo Maisha. Tukajirusha....vinywaji vya hapa na pale...yeye ni mpenzi wa Long island iced tea na mimi mtu wa bia tu. Basi tukafurahia usiku wetu halafu tukaondoka. Alikuwa kachoka na hakutaka nimrudishe kwake. Basi tukaenda wote kwangu.

Tukafika nyumbani tukaenda moja kwa moja chumbani. Tukachojoa mavazi tukapanda kitandani. Mara mwenzangu akaniambia anasikia baridi....mwanamume nikajua leo hapa kitu na boksi. Basi nikaanza kumtomasa tomasa hapo na jambo moja likapelekea jambo jingine na hatimaye nikajikuta niko juu ya kiuno chake na kilichofuatia baada ya hapo tumia imagination yako.

Shughuli ikawa ndio imeanza kukolea sasa. Mazee nilikuwa nagusa engo zote...kaskazini, kusini, mangharibi (sio magharibi), mashariki, kaskazini mangharibi, kusini mashariki...yaaani wewe acha tu. Mashine yake ilikuwa bomba sijapata kuona. Inavyoelekea ilikuwa haijapenyezwa kwa muda maana kitu kilikuwa taiti.

Sasa wakati karibia nafikia kilele mara ghafla bin vuuu nikaamka toka usingizini bana. Baada ya kutahamaki nikagundua kumbe nilikuwa ndotoni bana....aisee niliudhika sana na nikabaki kufyonya na kutukana. Yaani yale maraha yote kumbe nilikuwa naota bana...aaah basi hata kulala sikuweza tena. Ikabidi niamke tu nianze kuangalia tivii na ku-browse JF.

Hiyo ndio ilikuwa ndoto yangu ya usiku wa Jumamosi kuamkia Jumapili. Narudi zangu kwenye maboksi na tutaonana tena mwezi Oktoba nitakaporudi kutumia haki yangu ya kikatiba siku ya 31 mwezi huo.


nikajikuta niko juu ya kiuno chake: Yaani hata kondomu hujafaa, kijana watch very utakufa.

.kaskazini, kusini, mangharibi (sio magharibi), mashariki, kaskazini mangharibi, kusini mashariki:Achachachaaa ulikuwa unatumia compus gani kujui huku ni kus na kule ni kas nk, utamu wa bazoka mate yako kijana usijitie ujuzi kwa mwili wa mwenzio.

Mashine yake ilikuwa bomba sijapata kuona. Inavyoelekea ilikuwa haijapenyezwa kwa muda maana kitu kilikuwa taiti: Hio haikuwa mashine ila godoro lako lina katundu na hio ndude yako ilikuwa imepita hapo, angalia huo ukame wako utabaka.

nafikia kilele: usiogope kaka sema tu kuwa ulichafua godoro maana wareno wakitoka hawana breki.
 
A%20S%20100.gif
+
A%20S%208.gif
=?
 
Uache tabia yako hii. Ndiyo maana ilikuwa ndoto. Kwa Kiingereza wanasema DON'T DRINK & DRIVE.

Hivi huyu dada alikuwa ni yule mwanafunzi wa zamani wa University Mwanza?
 
Hii ndoto itakuja kutokea,ila siku hiyo kumbuka kuchukua kondomu
 
NN is time uwe na mpenzi,
mambo ya kuota kama ndio unabalehe noma..lol
acid umenichekesha sana ,
mwenzio nilikuwa na JS na Katelero in mind LOL
nilikuwa nishaanza kumlaani NN kwa kutojua kufumba mdomo na kumdhalilisha dada wa watu LOL
nilikuwa nishaanza kumuonea huruma JS/Katelero kwa kutoa kidude :becky::becky::becky:
 
NN is time uwe na mpenzi,
mambo ya kuota kama ndio unabalehe noma..lol
acid umenichekesha sana ,
mwenzio nilikuwa na JS na Katelero in mind LOL
nilikuwa nishaanza kumlaani NN kwa kutojua kufumba mdomo na kumdhalilisha dada wa watu LOL
nilikuwa nishaanza kumuonea huruma JS/Katelero kwa kutoa kidude :becky::becky::becky:

Mmmhhhh! Ndoto ya ukweli...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom