Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
:A S-coffee:hoto:TF nakiu..
:A S-coffee:hoto:TF nakiu..
:A S 100::argue::kev::fencing:
Babu Asprin i was thinkin hapa, hivi hiyo hodi ya chooni inaitikiwaje kama unasema haiitikiwi na karibu?...............Just Curiosity:kev::fencing:
:gossip::gossip: ODM asisikie atawasha :car: nita hone:uje uchukueTF nakiu..
Absolutely no ideaWhat is legal but not logical, logical but not legal and neither logical nor legal??
haya mabenki ya hapa nchini sijui yakoje bwana
nilikuwa na mpango wa kumtolea mungu sadaka ya shukrani
nimezunguka atm kibao mjini hola yaani nimetoa sadaka ambayo sio halali kwa sababu ya uzushi wa haya mabenki
yaani matumizi yangu mwenyewe ni vile nina wadhamini sijui ningeenjoy vp ile sikukuu mie
sijui niwashtaki.siwezi kufanya kazi mwaka mzima mwishowe ninyimwe hela yangu
upuuuuuuzi mtupu
utaskia tuna atm sijui 550 nchi nzima
oooh wengine tupo hadi korea kusini
kumbe hawana lolote
kiboko yenu m pesa na tigo pesa na aertel nao wamekuja
mnanikosanisha na mungu wangu mimi.?
je ningekuwa sina wadhamini mimi mwenyewe ingekuwaje? ila tz shida jamani mgao hadi kwenye hela yangu dah
:A S-coffee:hoto:
:gossip::gossip: ODM asisikie atawasha :car: nita hone:uje uchukue
ni kwa sababu ya sadaka tu sis huwezi kumtolea mungu vitu kharamu ujue kwa mambo mengine nilikuwa vizuri
Tayari nimeishaanza ku-organize kitu kiu yako inakaribia kuisha hebu angalia basi kule sasa...:eyebrows:hahahahah
babu kasha dakizia hapo juu..
sasa vipi organize basi kitu sababu
kweli na hisi kiu...
Tayari nimeishaanza ku-organize kitu kiu yako inakaribia kuisha hebu angalia basi kule sasa...:eyebrows:
Inaitikiwa kwa mguno mhhhhhhh au kukohoa koh koh! ili ujue kuna mtu ndani.....Babu Asprin i was thinkin hapa, hivi hiyo hodi ya chooni inaitikiwaje kama unasema haiitikiwi na karibu?...............Just Curiosity
Marhabaa jambo mjukuu mteule?shkamoo babu
:juggle::A S-coffee::gossip::gossip: ODM asisikie atawasha :car: nita hone:uje uchukue
Nimekuongezea na punch...na some drops of lime....is your body shivering now ...lolsijaridhikas bado .. ongeza basi ..
nimezunguka atm kibao mjini hola yaani nimetoa sadaka ambayo sio halali kwa sababu ya uzushi wa haya mabenki