Kigogo
JF-Expert Member
- Dec 14, 2007
- 20,508
- 6,146
Hakuna siku nimefadhaika na kusikitishwa maishani mwangu kama leo..Kukosa JF kwa masaa haya 6 ilikuwa ni safario ndefu na ngumu..Ni heri kukaa nyikani na kuteseka kuliko kukosa JF.
Jitihada zenu timu ya JF nazipongeza sana,lakini nawaacha na wosia kuwa UJASIRI UNAHITAJIKA SANA KIPINDI HIKI KIGUMU KWA KUWA NJIA YA KWENDA KWENYE UKOMBOZI NI NYEMBAMBA SANA NA IMEJAA MIIBA.
Mungu Ibariki Tanzania ,Mungu Ibariki JF asanteni kwa kusoma nilichoandika
Jitihada zenu timu ya JF nazipongeza sana,lakini nawaacha na wosia kuwa UJASIRI UNAHITAJIKA SANA KIPINDI HIKI KIGUMU KWA KUWA NJIA YA KWENDA KWENYE UKOMBOZI NI NYEMBAMBA SANA NA IMEJAA MIIBA.
Mungu Ibariki Tanzania ,Mungu Ibariki JF asanteni kwa kusoma nilichoandika