mojoki
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 1,314
- 290
<br />pole sana! nadhani sasa kuna kila sababu ya wewe kuwa makini, ucpende kuwaamin watu kirahisi, sisi wanaume ni wajanja sana, twajua vyema kucheza na mdomo! Mwombe Mungu akusaidie kusahau na kufungua ukurasa mwingine wa maisha yako. Pole sana!
<br />
huo sio ujanja ni uboya na kama na we upo hivyo we ni boo?....'sema boya'