hashycool
JF-Expert Member
- Oct 2, 2010
- 6,555
- 2,829
ntakununulia ndovu baridiiiiiiiiiii
tusker bana...
ntakununulia ndovu baridiiiiiiiiiii
Pole ndugu yangu hayo matatizo yana wakuta watu wengi, muachie Mungu na uweke mazingira ya kutokudanganywa tena, mimi mwenyewe kuna mshenzi mmoja sitakuja kumsahau maishani, amenifanya kitu mbaya zaidi ya mara mbili:-Ndugu zangu naomba msaada katika maisha yangu nimedanganywa mara nyingi lakini mara tatu nimefanywa mjinga hadi najiona sifai
1.nilidanganywa na mwanaume akanizalisha akaniacha
2.nilipata mwanaume mwingine akanitapeli kumbe ana mke na watoto
3.nilikutana na mume aliyenizalisha akaahidi kunisaidia kutunza mtoto kibaya mazingira yalinifanya nishirikiane nae kanitosa tena
chonde naomba msaada wa mawazo lakini msinitukane mtazidi kuniumiza
tusker bana...
<br />Mama mkubwa karibu kwa Bujibuji mfariji wa ajabu.
Ndugu zangu naomba msaada katika maisha yangu nimedanganywa mara nyingi lakini mara tatu nimefanywa mjinga hadi najiona sifai
1.nilidanganywa na mwanaume akanizalisha akaniacha
2.nilipata mwanaume mwingine akanitapeli kumbe ana mke na watoto
3.nilikutana na mume aliyenizalisha akaahidi kunisaidia kutunza mtoto kibaya mazingira yalinifanya nishirikiane nae kanitosa tena
chonde naomba msaada wa mawazo lakini msinitukane mtazidi kuniumiza
<br />okay girl u gat fake nailz,fake eyez,fake hair,fake ass.....n u expect to get a real man!!!!!!dream ova!!!!<br />
tubadilike na sie, tusilalamikie sana wanaume
<br />okay girl u gat fake nailz,fake eyez,fake hair,fake ass.....n u expect to get a real man!!!!!!dream ova!!!!<br />
tubadilike na sie, tusilalamikie sana wanaume
<br />okay girl u gat fake nailz,fake eyez,fake hair,fake ass.....n u expect to get a real man!!!!!!dream ova!!!!<br />
tubadilike na sie, tusilalamikie sana wanaume
Ndugu zangu naomba msaada katika maisha yangu nimedanganywa mara nyingi lakini mara tatu nimefanywa mjinga hadi najiona sifai
1.nilidanganywa na mwanaume akanizalisha akaniacha
2.nilipata mwanaume mwingine akanitapeli kumbe ana mke na watoto
3.nilikutana na mume aliyenizalisha akaahidi kunisaidia kutunza mtoto kibaya mazingira yalinifanya nishirikiane nae kanitosa tena
chonde naomba msaada wa mawazo lakini msinitukane mtazidi kuniumiza
Ndugu zangu naomba msaada katika maisha yangu nimedanganywa mara nyingi lakini mara tatu nimefanywa mjinga hadi najiona sifai
1.nilidanganywa na mwanaume akanizalisha akaniacha
2.nilipata mwanaume mwingine akanitapeli kumbe ana mke na watoto
3.nilikutana na mume aliyenizalisha akaahidi kunisaidia kutunza mtoto kibaya mazingira yalinifanya nishirikiane nae kanitosa tena
chonde naomba msaada wa mawazo lakini msinitukane mtazidi kuniumiza
hAYA pole ndugu na mimi nina wadada na mabintiasanteni kwa ushauri hasa yasmin, luvesho na red devil. ezan umeniacha hoi. kuhusu wanaofokiri sina akili nasikitika sana maana kama wao hayajawakuta wasifikiri kwamba wana kinga kwamba hayatawakuta.kuhusu bujibuji naona ni walewale.
<br />Mwe....kwani mwenzetu akili zako kazishika nani jamani mpaka uwe wa kuumizwa tuuuu!